Huu waraka, jinsi unavyozidi kujadiliwa ndivyo unazidi kupata umaarufu. Halafu TEC wenyewe wala hawajibizani na mtu, wametoa waraka wao, wametulia. Watu sasa, hata waliokuwa mafichoni wanaibuka. Ndio ujue jinsi gani waraka una nguvu.
Kuna mmoja nimeona anasema, "TEC wametoa waraka, na sisi hatukubali tutadai haki zetu" nikajiuliza waraka wa TEC unahusiana vipi na watu wa imani nyingine kudai haki zao, wakati waraka unazingumzia bandari na wala haujapinga imani za watu wengine? Hongereni TEC, mmezidi kujijengea heshima. Wakubali, wakatae lakini huo ndio ukweli.
Kuna mmoja nimeona anasema, "TEC wametoa waraka, na sisi hatukubali tutadai haki zetu" nikajiuliza waraka wa TEC unahusiana vipi na watu wa imani nyingine kudai haki zao, wakati waraka unazingumzia bandari na wala haujapinga imani za watu wengine? Hongereni TEC, mmezidi kujijengea heshima. Wakubali, wakatae lakini huo ndio ukweli.