Ndio tuseme TEC hawatashiriki tena shughuli za Serikali?

Ndio tuseme TEC hawatashiriki tena shughuli za Serikali?

Wana elimu gani iliyosaidia nchi, maana kila posti inasema wana phd, ni phd za nini?, inakuwaje hizo phd hazijengi vyoo vya mashule bado tunaomba msaada
Wape serikali tuone kama hayo matundu ni Magumu kiasi gani.
Na kazi ya serikali Ni nini? Yaani watu wagome kujichimbia vyoo vyoo Na kukimbilia msituni , hili nalo Ni la maaskofu au Ni Mimi sijakuelewa?
 
Kwanza kabisa mwanangu kupata division 0 hilo haliwezekani hata asiposoma vizuri kabisa. 😀

Kingine matokeo yake hayahusiani na birthday. Walipokosea wao ni kutaka kutoa hayo maoni yao siku ya uzinduzi. Walitakiwa waandike spana zao baada ya uzinduzi.
Mm sikujui ninatolea mfano tumiaga akili sideal na ww in personal.pia usikufuru kuwa ww ni special kuwa wanaopata wote 0 wazazi ni wa chini au sio Makin maisha kama yanakupendelea shukuru usijigambe.
Turudi hojani .hapo nakuelewa kuwa shoo alikuwa na opt nzuri ya kutoliongelea kabisa nadhan uwezo mdogo wa kufikiri au kuwa na kifua kidogo .hapo nakubaliana na ww unapoint
 
Najua vizuri tu, na hapo ndipo ilipo hoja yangu. Angalia hekma iliyopo katika 'kupinga' kwake na uovyo wa upingaji wa hao wengine (nyinyi). Aliyeelimika kweli ameonekana!!!!
Kazi kubwa imefanywa na TEC, shoo kafanya mwendelezo tu, hekima uzionazo kwake ni kwa sababu ilipaswa kua hivo, alichokifanya ni kukazia tu.
 
......kwa hoja dhaifu isiyo na mashiko yoyote,...... (Key Take Away) !!!
 
Baada ya waraka wa maskofu kupingwa vikali na makundi ya dini wasio na elimu ya kutosha ambao ndio watu wengi mno wanaopatikana ktk taifa hili

Hoja
Nimeona makundi ya kidini wasio na elimu kubwa wakipinga waraka wa wasomi kwa hoja dhaifu isiyo na mashiko yoyote, inashangaza kuona hata kamtu hajamaliza fom four au ama Ni fom four failure nae anahitisha mkutano na kuanza kuwaropokea maskofu wasomi

Je maskofu au kanisa katoliki litajitenga na shughuli za kiserekali ? Tunafahamu ya kuwa Mara nyingi Sana serekali haifanyi shughuli kubwa Bila kuwajumuisha maskofuu Hawa je Sasa HV itakuaje kwa shughuli za serekali

Nimeona KKKT na Anglican wakijikomba komba kwa serekali sijui wanatafuta nini au wanataka nao kanisa lao litoe rais siku zijazo.

Mwisho

Mimi siyo mkatoliki ila naunga mkono waraka wao na niko nao bega kwa bega hadi mwisho

Wasomi wasikilizwe
Ova
KANISA HALITAJITENGA NA SERIKALI KWANI KAZI YA KANISA NI KUELIMISHA KUSHAURI KUONYA HUKU LIKIMSHIRIKISHA MUNGU
 
Silaaaliiba elazaujiowapapa mwakatisinii yeyenimsakatongetoo naubaloziapati
 
Ni kanisa langu nawaheshimu sana viongozi wangu na wajumbe wa TEC lakini kwa hili la waraka wameonyesha unafiki wa kiwango cha juu sana, mbona wenzetu KKKT waliwasilisha maoni yao kwa kutumia busara bila kelele na migongano?!

Nawashauri wazee wangu wa TEC wasirudie tena utaratibu huu walio utumia haswa kwenye mambo yanayo weza kuibua hisia na migongano kwenye jamii.
Sasa tunaonekana kama wanafiki wenye lengo la kuipasua jamii badala ya kujenga umoja na mshikamano wa taifa letu.
 
TEC ndio wezi kwenye bandari yetu hasa kupitia CARITAS.
TEC sio kiranja wa makundi mengine kwa nini muone wengine hawana akili. Kusoma sana ni sawa tu na kulewa sana pombe. Sio tafsiri ya kuwa ndio watendaji wazuri. Kimsingi waliofanikiwa kimaisha sio waliosoma au wakristu peke yao.
Tamko sawa ila ni ujinga kulitoa wakati kuna msuguano unaendelea. Huo sio msingi wa kanisa.
Mimi ni mkatoliki lakini nimeupinga waraka kwa sababu ni wa KIBAGUZI.
TEC kemea mapadre wanaoambukiza mabinti UKIMWI na wengine kulawiti watoto.
 
Baada ya waraka wa maskofu kupingwa vikali na makundi ya dini wasio na elimu ya kutosha ambao ndio watu wengi mno wanaopatikana ktk taifa hili

Hoja
Nimeona makundi ya kidini wasio na elimu kubwa wakipinga waraka wa wasomi kwa hoja dhaifu isiyo na mashiko yoyote, inashangaza kuona hata kamtu hajamaliza fom four au ama Ni fom four failure nae anahitisha mkutano na kuanza kuwaropokea maskofu wasomi

Je maskofu au kanisa katoliki litajitenga na shughuli za kiserekali ? Tunafahamu ya kuwa Mara nyingi Sana serekali haifanyi shughuli kubwa Bila kuwajumuisha maskofuu Hawa je Sasa HV itakuaje kwa shughuli za serekali

Nimeona KKKT na Anglican wakijikomba komba kwa serekali sijui wanatafuta nini au wanataka nao kanisa lao litoe rais siku zijazo.

Mwisho

Mimi siyo mkatoliki ila naunga mkono waraka wao na niko nao bega kwa bega hadi mwisho

Wasomi wasikilizwe
Ova
Ukishakua na viongoz wa dini wanao oa au wanaolala na watu kitandan na kuamka.. huwez ongoza kanisa likawa bora dunian..
Utakua na tabia za kichawa tu kama kina mwijaku
 
Shoo ni mnafiki tu. Tabia ya unafiki huzaa kujipendekeza kisha ukistukiwa ni mauti tu yatafata 🤣! Huwezi kujifanya unafurahia uhuni ili uonekane mwema kwa muhuni. Shetani hana rafiki.
Umemsikiliza vizuri au umekimbilia keyboard.
KKKT bado wanasubiri mrejesho wa mapendekezo / marekebisho ya mkataba wa DP World.

KKKT kupitia CCT,BAKWATA & TEC walishaonana na Rais na walishatoa hoja zao kuhusu mkataba DP World.Bado wana imani hoja zao zinafanyiwa kazi.

KKKT inaunga mkono uwekezaji wenye tija.KKKT wanataka marekebisho katika mkataba wa DP World.

Kwa maoni yangu Dr Shoo yupo sahihi na TEC wapo sahihi. Tofauti ipo katika njia walizochagua kupita lakini lengo bado ni moja.
 
Kwani ni mara ya kwanza TEC kutoa waraka kama huu? Mfano, mwaka 1953 Maaskofu wa Kanisa Katoliki Tanganyika walitoa waraka unaoitwa "Africans and the Christian Way of Life" Mwaka 1972 walitoa waraka unaoitwa "Peace and Mutual Understanding". Mwaka 1993 walitoa waraka unaoitwa "Good Conscience, Vision and Our Nation". Na nyaraka zote hizo walikuwa wakikosoa mambo fulani, lakini kila mwaka wameendelea kutoa nyaraka hizi. Hata manabii na mitume walihubiri neno la Mungu enzi hizo, leo hawapo, lakini neno la Mungu bado lipo. Kanisa likikosoa jambo fulani siyo kwamba limesema kila jambo ni baya na hivyo linajitenga na mamlaka ya nchi hapana. Kukosoa ni kwamba what is 'bad can be made good; good can be made better na better can be made best'. Katika watu wengi ni wazi kwamba kuna watu watasifia jambo fulani na wengine watakosoa na kusifia au kukosoa hakuna maana kwamba kuna mtu mwema na mbaya maana msifiaji anaweza kuwa mbaya na mkosoaji kuwa mwema au msifiaji kuwa mwema na mkosoaji kuwa mbaya. It all depends on the intention behind kusifia au kukosoa.
Tatizo watu wenye akili kama wewe hamuanzishi threads tukasoma na kuelimika, mnakaa kimya matokeo yake kuna watu wamechukua umiliki wa jukwaa kwa kutupia threads kila baada ya dakika moja wakijinasibu kujua kila kitu.....ya angani, ya majini, ya chini ya ardhi na sasa wanajua kila kitu kuhusu mikataba hususani baada ya TEC kutoa waraka. Ukiwauliza kidogo unatukanwa, huku wenyewe wakisifiana kuwa wana akili.
 
Wana elimu gani iliyosaidia nchi, maana kila posti inasema wana phd, ni phd za nini?, inakuwaje hizo phd hazijengi vyoo vya mashule bado tunaomba msaada
Sasa ndiyo umeandika nini hapa! Yaani unauliza PhD za Maaskofu wa Katoliki ni za nini? Eti inakuwaje hizo PhD hazijengi vyoo vya mashule!! Kuna uhusiano wowote kweli?
 
Umemsikiliza vizuri au umekimbilia keyboard.
KKKT bado wanasubiri mrejesho wa mapendekezo / marekebisho ya mkataba wa DP World.

KKKT kupitia CCT,BAKWATA & TEC walishaonana na Rais na walishatoa hoja zao kuhusu mkataba DP World.Bado wana imani hoja zao zinafanyiwa kazi.

KKKT inaunga mkono uwekezaji wenye tija.KKKT wanataka marekebisho katika mkataba wa DP World.

Kwa maoni yangu Dr Shoo yupo sahihi na TEC wapo sahihi. Tofauti ipo katika njia walizochagua kupita lakini lengo bado ni moja.
Kama ni hivyo basi iko sawa.
 
Wana elimu gani iliyosaidia nchi, maana kila posti inasema wana phd, ni phd za nini?, inakuwaje hizo phd hazijengi vyoo vya mashule bado tunaomba msaada
Acha ujinga wew nchi hi Kama siyo kanisa katoliki leo ungekuta umekufa au ujui kusoma wala kuandika
 
Hata Mimi siyo mkatoliki ni mlutheran wakawaida ila pia mfuasi wa JW Na kiukweli misimamo ye Jw ni kutoshabikia mambo ya siasa yoyote ila kwa hili naunga mkono waraka wao TEC na niko nao bega kwa begA
Same to me.
 
Back
Top Bottom