dr namugari
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 10,676
- 18,577
Baada ya waraka wa maskofu kupingwa vikali na makundi ya dini wasio na elimu ya kutosha ambao ndio watu wengi mno wanaopatikana ktk taifa hili kongwe barani Africa.
Hoja
Nimeona makundi ya kidini wasio na elimu kubwa wakipinga waraka wa wasomi kwa hoja dhaifu isiyo na mashiko yoyote, inashangaza kuona hata kamtu hajamaliza fom four au ama Ni fom four failure nae anahitisha mkutano na kuanza kuwaropokea maskofu wasomi
Je maskofu au kanisa katoliki litajitenga na shughuli za kiserekali ? Tunafahamu ya kuwa Mara nyingi Sana serekali haifanyi shughuli kubwa Bila kuwajumuisha maskofuu Hawa je Sasa HV itakuaje kwa shughuli za serekali
Nimeona KKKT na Anglican wakijikomba komba kwa serekali sijui wanatafuta nini au wanataka nao kanisa lao litoe rais siku zijazo.
Mwisho
Mimi siyo mkatoliki ila naunga mkono waraka wao na niko nao bega kwa bega hadi mwisho
Wasomi wasikilizwe
Ova
Hoja
Nimeona makundi ya kidini wasio na elimu kubwa wakipinga waraka wa wasomi kwa hoja dhaifu isiyo na mashiko yoyote, inashangaza kuona hata kamtu hajamaliza fom four au ama Ni fom four failure nae anahitisha mkutano na kuanza kuwaropokea maskofu wasomi
Je maskofu au kanisa katoliki litajitenga na shughuli za kiserekali ? Tunafahamu ya kuwa Mara nyingi Sana serekali haifanyi shughuli kubwa Bila kuwajumuisha maskofuu Hawa je Sasa HV itakuaje kwa shughuli za serekali
Nimeona KKKT na Anglican wakijikomba komba kwa serekali sijui wanatafuta nini au wanataka nao kanisa lao litoe rais siku zijazo.
Mwisho
Mimi siyo mkatoliki ila naunga mkono waraka wao na niko nao bega kwa bega hadi mwisho
Wasomi wasikilizwe
Ova
