Ndio nini kuminya minya mapaja wake za watu?

Ndio nini kuminya minya mapaja wake za watu?

Kibo10

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2013
Posts
11,278
Reaction score
8,868
Aaggrrhh...inaudhi sana wakuu nimepita hapa maeneo ya mwenge kuna vitu nimeona ikabidi nianze kujihoji maswali mwenyewe bila kupata majibu ila nikaona sio mbaya majibu ya vitu hivi tuyatafute sote.

Yani kuna mtaa hapa wanawake ni mapaja wameanika nje halafu kuna jamaa wanawasugua na wanawake wenyewe nilivyowaona wapo kwenye hisia za hali ya juu kuna mwingine kavaa pete ya ndoa kabisa na kachanua mapaja yanaminywa minywa tena kafunga mpaka macho kwa hisia"paja ni kiungo cha siri" (sehemu sensitive haswaa)

Akiya mungu mke wangu simruhusu huu ujinga acha nitamsugua mwenyewe mbona mama zetu hawakufanya huu upuuzi?namkumbuka mama yangu alivyokuwa akikata kucha zake kwa wembe tena wakati mwingine mzee alikuwa akimkata lazima niwaige wazee wa zamani kwa niliyoyashuhudia hapa mwenge.

Hali ile ni ya hatari pale kwa haraka haraka vile vijamaa vitakuwa vinakanyaga wake/mademu wa watu kwa kuwatia genye kijinga jinga tu"ndio maana waarabu hawataki huu uhayawani"

Nashauri tusikubali huu ujinga kama hawa wanawake wanataka kwenda kusuguliwa miguu yao na kukatwa kucha ni vema wasuguane kwenye saluni ambazo wanawake wanafanya kazi hiyo wenyewe zaidi ya hapo ni wizi mtupu.
Swali kwa wanaume: Unamruhusu mkeo/ mpenzi wako kwenda kupata huduma hii? Swali kwa wanawake: Kuna kitu gani special kwenda kusafishwa miguu badala ya kujisafisha mwenyewe nyumbani?

Natarajia paniki kwa wanawake wanaoendekeza huu ujinga wa kuzalilisha miili yao tena adharani na kuona ni sehemu ya uadilifu, ila ukweli siku zote najuwa unauma.
 
huhuhuuu wewe hata mkeo hajawahi nusa saloon
 
Keep the frith in your heart, kwanini ukwazike kwa vitu vidogo vidogo...?
Being in love is meant to enrich our lives, not destroy our wants.
 
mi ndo mana nmenunua vifaa vyote ndani, akitaka kuosha sijui kupaka rangi namaliza mwenyewe... Ila na hao vijana wanashida sana, sipati picha wanajipiga bao ngapi kwa siku maana hayo mapaja wanayokutana nayo ..........
 
Magaga nayo ni ugonjwa.....sasa nisisuguliwe mguu nikapaka rangi kisa kuolewa???kama vp niachike!!!Nyie mnasuguliwa videvu saloon mpaka mnasimama dede dushe zenu....

Kumbe katikati ya mapaja kuna magaga khaa hii mpya!
 
yaan wanawake mnatetea ujinga tu hebu jiulize wanatetea nini , mi binafsi nikishakuoa uzuri wako wote uufanye kwa ajili yangu nisipopenda unataka kumuonyesha nani kuwa unamiguu mizuri?
 
Ishiiiiiiiiii hii ni supu ya nyama za binadamu, kama wewe huwezi kung'ong'osa mfupa kunywa mchuzi na utokee mlango uleeee! Mbona mkeo huwa tunakuwaga nae hapa.
 
utamu wa hii kazi umpate demu mwenye upaja ndembendembe
 
Hao wanawake wana nini hadi waminywe minywe mapaja? Me nafikiri wanatengeneza kucha sasa mapaja umeyaonaje na wewe? Umeongea kwa hisia adi mekuurumia hahaaa
 
Weee nae huo ni uzushi.....katikati ya mapaja umeionea wapi???

Mwenge kwa macho yangu wala sijasimuliwa na sii kwa mmoja walikuwa wengi tu wamejipanga
Hata kama mmeo hayupo akipita hata jirani yenu/shemeji yako ni uzalilishaji tu
Mbona hayo magaga msitowane wenyewe kwa wenyewe kama mnavyofumuana nywele ke kwa ke huku mitaani?
 
Mie sijaelewa yani huyo mtengeneza kucha anamshika huyo bidada mapajani ama?maana sijaona connection ya kucha na mapaja
 
Hao wanawake wana nini hadi waminywe minywe mapaja? Me nafikiri wanatengeneza kucha sasa mapaja umeyaonaje na wewe? Umeongea kwa hisia adi mekuurumia hahaaa

Wamevaa sketi fupi kajamaa kanaanzia kwenye unyayo kanapandisha mkuno mpaka katikati ya paja tena kwa povu la sabuni na demu ana pete ya ndoa dah aisee nimeona ni kujizalilisha tu!!
 
We binti hebu pita pale Mwenge (Stand ya zamani), kwa kale kamtaa kanakotokea Polisi Station
watu8 we kumbe unapajuwa ndio hapo hapo nimekuta huu ujinga.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom