Ndimu ya Mchange: kufurahia tozo kufutwa ni kufurahia umasikini

Wizi tu tozo ni wizi mkubwa kwa wananchi,siku jua likichomoza na nuru kupatikana tutawashtaki wakiwa hai au wamekufa.tutawashtaki kwa mengi wanayofanya.
 
KUFURAHIA TOZO KUFUTWA NI KUFURAHIA UMASIKINI

Na. Habibu Mchange

Ni bahati mbaya sana jambo jema la Tozo limetafsiriwa tofauti na kugeuzwa agenda hasi dhidi ya serikali

Sijui kama tunafurahi kuomba msaada Japan kujenga matundu ya vyoo kama nchi.

Kuomba ufadhili ulaya na America kununuliwa vitabu vya mitaala ya mashuleni mwetu

Tunafurahi kuona barabarani Mabango yameandikwa BARABARA HII IMEJENGWA KWA MSAADA WA KODI ZA WATU WA MAREKANI/ULAYA ni hatari sana hii

Hatutaki kuchangia maendeleo, lakini tunataka maendeleo ya haraka.

Tunadai barabara, madaraja, mikopo vyuo vikuu, madrasa, vituo vya Afya, ajira mpya, ruzuku katika pembejeo za kilimo, miradi ya umeme, maji nakadharika.

Watu wavivu kufukiri wanasema mbona huko nyuma huduma hizo zilitolewa, zilitolewaje bila tozo?.

Hataki kujua kuwa hata katika level tu ya familia yake miaka kumi nyuma alikuwa na familia kubwa kiasi gani na alikuwa anatumia unga/Mchele/Mboga kiasi gani kwa siku....maana yake ni Nini, maana yake ni kuwa mahitaji huongezeka kila mara na vyanzo vya mapato visipoongezeka jamii hudumaa

Kwenye hili la Tozo nafikiri lilipaswa kuita Mchango wa maendeleo kwamba mtu anakatwa kuchangia maendeleo maalum tena lingewekewa kipindi maalum. Nafikiri watu wangeeleweshwa wangeelewa na wangechanga bila shaka

Yaani, Serikali ilipaswa kutuambia uwezo wake wa makusanyo kwa mwaka, ikalinganisha na matumizi yake (ikiwemo kulipa madeni ya muda mrefu na mfupi, kusomesha watoto bila malipo, kulipa mishahara watumishi wa umma, kujenga miradi ya kimkakati kama niliyoitaja huko juu. Nakadharika). Wakaonyesha gharama zake.

Automatic kabisa makusanyo tunayokusanya kama nchi hayawezi kuhudumia mahitaji yote hayo, hivyo Serikali ingeelimisha watu umuhimu wa hiyo miradi, na kuwashauri watu kubuni njia ya dharura kufikia lengo ikiwemo kubana matumizi kwa serikali kuu, Bunge na Mahakama.

Ingetokea tangazo limetoka Bungeni, na wabunge wakatangazia umma kuwa katika posho zao za siku zinazofikia Hadi 360,000/= wameridhi wakatwe 200,000/= kila siku ya kikao Ili kuchangia mchango wa maendeleo japo kwamba nao wanakatwa Tozo wakifanya miamala hakuna mtu asingeelewa umuhimu wa kuchangia

Yaani Serikali inatangaza hadharani kuwa Rais anapokea mshaha kiasi X, Makamu wa Rais kiasi Y, Waziri Mkuu kiasi Z, spika, jaji mkuu na wengineo kiasi L, na kwa pamoja watapunguziwa mshahara na marupurupu kwa asilimia 40 au 50 katika kipindi hiki maalum. Watu wangeshangilia na wasingeona ugumu wa tozo wanazotozwa.

TUMECHELEWA?
Hatujachelewa sana, wenzetu nchi walizoendelea wanalipa Tozo Hadi za kumiliki Tv nyumbani kwao, kwamba ukimiliki TV, friji na vitu vyovyote ambavyo havikuzuii kuishi basi lazima ulipie Tozo.

Kama Taifa tunatakiwa turudi kwenye mjadala muhimu huu kujinusuru. Lazima tutafute suluhu kusonga mbele,

Tunapomlaumu Waziri Dkt. Mwigulu tukaliacha Bunge lililopaswa kutuelewesha umuhimu wa hii hatua ni kumuonea tu.

Tunapomlaumu Dkt. Mwigulu badala ya kupima dhamira, malengo na matumizi ya kilichokusanywa hadi sasa, ni kumsimanga tu na kuendeleza Nongwa.

Tunayo nafasi kama Taifa kuamua kujenga Taifa letu au tuendelee kutegemea wajomba na mashangazi.

Naishia hapa Kwa sasa nikiamini kuwa, kuliko kushangilia TOZO KUFUTWA TUSIKITIKE kwa sisi kuchagua kukataa kuchangia maendeleo yetu wenyewe.

Ndimi,
Habibu Mchange
Mwananchi wa kawaida

Huyu Machangeni nani ? asitutishe kwanza hamna aliyekataa Tozo, bali ni kiasi gani cha Tozo na kikatwe kwenye miamala gani sio kila mwamala ukatwe tu kisa tunataka maendeleo......shubaamit.
 
KUFURAHIA TOZO KUFUTWA NI KUFURAHIA UMASIKINI

Na. Habibu Mchange

Ni bahati mbaya sana jambo jema la Tozo limetafsiriwa tofauti na kugeuzwa agenda hasi dhidi ya serikali

Sijui kama tunafurahi kuomba msaada Japan kujenga matundu ya vyoo kama nchi.

Kuomba ufadhili ulaya na America kununuliwa vitabu vya mitaala ya mashuleni mwetu

Tunafurahi kuona barabarani Mabango yameandikwa BARABARA HII IMEJENGWA KWA MSAADA WA KODI ZA WATU WA MAREKANI/ULAYA ni hatari sana hii

Hatutaki kuchangia maendeleo, lakini tunataka maendeleo ya haraka.

Tunadai barabara, madaraja, mikopo vyuo vikuu, madrasa, vituo vya Afya, ajira mpya, ruzuku katika pembejeo za kilimo, miradi ya umeme, maji nakadharika.

Watu wavivu kufukiri wanasema mbona huko nyuma huduma hizo zilitolewa, zilitolewaje bila tozo?.

Hataki kujua kuwa hata katika level tu ya familia yake miaka kumi nyuma alikuwa na familia kubwa kiasi gani na alikuwa anatumia unga/Mchele/Mboga kiasi gani kwa siku....maana yake ni Nini, maana yake ni kuwa mahitaji huongezeka kila mara na vyanzo vya mapato visipoongezeka jamii hudumaa

Kwenye hili la Tozo nafikiri lilipaswa kuita Mchango wa maendeleo kwamba mtu anakatwa kuchangia maendeleo maalum tena lingewekewa kipindi maalum. Nafikiri watu wangeeleweshwa wangeelewa na wangechanga bila shaka

Yaani, Serikali ilipaswa kutuambia uwezo wake wa makusanyo kwa mwaka, ikalinganisha na matumizi yake (ikiwemo kulipa madeni ya muda mrefu na mfupi, kusomesha watoto bila malipo, kulipa mishahara watumishi wa umma, kujenga miradi ya kimkakati kama niliyoitaja huko juu. Nakadharika). Wakaonyesha gharama zake.

Automatic kabisa makusanyo tunayokusanya kama nchi hayawezi kuhudumia mahitaji yote hayo, hivyo Serikali ingeelimisha watu umuhimu wa hiyo miradi, na kuwashauri watu kubuni njia ya dharura kufikia lengo ikiwemo kubana matumizi kwa serikali kuu, Bunge na Mahakama.

Ingetokea tangazo limetoka Bungeni, na wabunge wakatangazia umma kuwa katika posho zao za siku zinazofikia Hadi 360,000/= wameridhi wakatwe 200,000/= kila siku ya kikao Ili kuchangia mchango wa maendeleo japo kwamba nao wanakatwa Tozo wakifanya miamala hakuna mtu asingeelewa umuhimu wa kuchangia

Yaani Serikali inatangaza hadharani kuwa Rais anapokea mshaha kiasi X, Makamu wa Rais kiasi Y, Waziri Mkuu kiasi Z, spika, jaji mkuu na wengineo kiasi L, na kwa pamoja watapunguziwa mshahara na marupurupu kwa asilimia 40 au 50 katika kipindi hiki maalum. Watu wangeshangilia na wasingeona ugumu wa tozo wanazotozwa.

TUMECHELEWA?
Hatujachelewa sana, wenzetu nchi walizoendelea wanalipa Tozo Hadi za kumiliki Tv nyumbani kwao, kwamba ukimiliki TV, friji na vitu vyovyote ambavyo havikuzuii kuishi basi lazima ulipie Tozo.

Kama Taifa tunatakiwa turudi kwenye mjadala muhimu huu kujinusuru. Lazima tutafute suluhu kusonga mbele,

Tunapomlaumu Waziri Dkt. Mwigulu tukaliacha Bunge lililopaswa kutuelewesha umuhimu wa hii hatua ni kumuonea tu.

Tunapomlaumu Dkt. Mwigulu badala ya kupima dhamira, malengo na matumizi ya kilichokusanywa hadi sasa, ni kumsimanga tu na kuendeleza Nongwa.

Tunayo nafasi kama Taifa kuamua kujenga Taifa letu au tuendelee kutegemea wajomba na mashangazi.

Naishia hapa Kwa sasa nikiamini kuwa, kuliko kushangilia TOZO KUFUTWA TUSIKITIKE kwa sisi kuchagua kukataa kuchangia maendeleo yetu wenyewe.

Ndimi,
Habibu Mchange
Mwananchi wa kawaida

Wewe kama unakubali si upeleke hela zako wakanunulie V8? Mtu mwenyewe kula kulala Mchange unatupangia kipi cha kupinga, kipi cha kusapoti?
 
KUFURAHIA TOZO KUFUTWA NI KUFURAHIA UMASIKINI

Na. Habibu Mchange

Ni bahati mbaya sana jambo jema la Tozo limetafsiriwa tofauti na kugeuzwa agenda hasi dhidi ya serikali

Sijui kama tunafurahi kuomba msaada Japan kujenga matundu ya vyoo kama nchi.

Kuomba ufadhili ulaya na America kununuliwa vitabu vya mitaala ya mashuleni mwetu

Tunafurahi kuona barabarani Mabango yameandikwa BARABARA HII IMEJENGWA KWA MSAADA WA KODI ZA WATU WA MAREKANI/ULAYA ni hatari sana hii

Hatutaki kuchangia maendeleo, lakini tunataka maendeleo ya haraka.

Tunadai barabara, madaraja, mikopo vyuo vikuu, madrasa, vituo vya Afya, ajira mpya, ruzuku katika pembejeo za kilimo, miradi ya umeme, maji nakadharika.

Watu wavivu kufukiri wanasema mbona huko nyuma huduma hizo zilitolewa, zilitolewaje bila tozo?.

Hataki kujua kuwa hata katika level tu ya familia yake miaka kumi nyuma alikuwa na familia kubwa kiasi gani na alikuwa anatumia unga/Mchele/Mboga kiasi gani kwa siku....maana yake ni Nini, maana yake ni kuwa mahitaji huongezeka kila mara na vyanzo vya mapato visipoongezeka jamii hudumaa

Kwenye hili la Tozo nafikiri lilipaswa kuita Mchango wa maendeleo kwamba mtu anakatwa kuchangia maendeleo maalum tena lingewekewa kipindi maalum. Nafikiri watu wangeeleweshwa wangeelewa na wangechanga bila shaka

Yaani, Serikali ilipaswa kutuambia uwezo wake wa makusanyo kwa mwaka, ikalinganisha na matumizi yake (ikiwemo kulipa madeni ya muda mrefu na mfupi, kusomesha watoto bila malipo, kulipa mishahara watumishi wa umma, kujenga miradi ya kimkakati kama niliyoitaja huko juu. Nakadharika). Wakaonyesha gharama zake.

Automatic kabisa makusanyo tunayokusanya kama nchi hayawezi kuhudumia mahitaji yote hayo, hivyo Serikali ingeelimisha watu umuhimu wa hiyo miradi, na kuwashauri watu kubuni njia ya dharura kufikia lengo ikiwemo kubana matumizi kwa serikali kuu, Bunge na Mahakama.

Ingetokea tangazo limetoka Bungeni, na wabunge wakatangazia umma kuwa katika posho zao za siku zinazofikia Hadi 360,000/= wameridhi wakatwe 200,000/= kila siku ya kikao Ili kuchangia mchango wa maendeleo japo kwamba nao wanakatwa Tozo wakifanya miamala hakuna mtu asingeelewa umuhimu wa kuchangia

Yaani Serikali inatangaza hadharani kuwa Rais anapokea mshaha kiasi X, Makamu wa Rais kiasi Y, Waziri Mkuu kiasi Z, spika, jaji mkuu na wengineo kiasi L, na kwa pamoja watapunguziwa mshahara na marupurupu kwa asilimia 40 au 50 katika kipindi hiki maalum. Watu wangeshangilia na wasingeona ugumu wa tozo wanazotozwa.

TUMECHELEWA?
Hatujachelewa sana, wenzetu nchi walizoendelea wanalipa Tozo Hadi za kumiliki Tv nyumbani kwao, kwamba ukimiliki TV, friji na vitu vyovyote ambavyo havikuzuii kuishi basi lazima ulipie Tozo.

Kama Taifa tunatakiwa turudi kwenye mjadala muhimu huu kujinusuru. Lazima tutafute suluhu kusonga mbele,

Tunapomlaumu Waziri Dkt. Mwigulu tukaliacha Bunge lililopaswa kutuelewesha umuhimu wa hii hatua ni kumuonea tu.

Tunapomlaumu Dkt. Mwigulu badala ya kupima dhamira, malengo na matumizi ya kilichokusanywa hadi sasa, ni kumsimanga tu na kuendeleza Nongwa.

Tunayo nafasi kama Taifa kuamua kujenga Taifa letu au tuendelee kutegemea wajomba na mashangazi.

Naishia hapa Kwa sasa nikiamini kuwa, kuliko kushangilia TOZO KUFUTWA TUSIKITIKE kwa sisi kuchagua kukataa kuchangia maendeleo yetu wenyewe.

Ndimi,
Habibu Mchange
Mwananchi wa kawaida

Serikali makini huwa inafanya adjustment kwenye matumizi yake ili kuendana na Hali halisi ya maisha hapa kwetu ndo kwanza wanatapanya pesa
 
KUFURAHIA TOZO KUFUTWA NI KUFURAHIA UMASIKINI

Na. Habibu Mchange

Ni bahati mbaya sana jambo jema la Tozo limetafsiriwa tofauti na kugeuzwa agenda hasi dhidi ya serikali

Sijui kama tunafurahi kuomba msaada Japan kujenga matundu ya vyoo kama nchi.

Kuomba ufadhili ulaya na America kununuliwa vitabu vya mitaala ya mashuleni mwetu

Tunafurahi kuona barabarani Mabango yameandikwa BARABARA HII IMEJENGWA KWA MSAADA WA KODI ZA WATU WA MAREKANI/ULAYA ni hatari sana hii

Hatutaki kuchangia maendeleo, lakini tunataka maendeleo ya haraka.

Tunadai barabara, madaraja, mikopo vyuo vikuu, madrasa, vituo vya Afya, ajira mpya, ruzuku katika pembejeo za kilimo, miradi ya umeme, maji nakadharika.

Watu wavivu kufukiri wanasema mbona huko nyuma huduma hizo zilitolewa, zilitolewaje bila tozo?.

Hataki kujua kuwa hata katika level tu ya familia yake miaka kumi nyuma alikuwa na familia kubwa kiasi gani na alikuwa anatumia unga/Mchele/Mboga kiasi gani kwa siku, maana yake ni Nini, maana yake ni kuwa mahitaji huongezeka kila mara na vyanzo vya mapato visipoongezeka jamii huduma.

Kwenye hili la Tozo nafikiri lilipaswa kuita Mchango wa maendeleo kwamba mtu anakatwa kuchangia maendeleo maalum tena lingewekewa kipindi maalum. Nafikiri watu wangeeleweshwa wangeelewa na wangechanga bila shaka.

Yaani, Serikali ilipaswa kutuambia uwezo wake wa makusanyo kwa mwaka, ikalinganisha na matumizi yake (ikiwemo kulipa madeni ya muda mrefu na mfupi, kusomesha watoto bila malipo, kulipa mishahara watumishi wa umma, kujenga miradi ya kimkakati kama niliyoitaja huko juu. Nakadharika). Wakaonyesha gharama zake.

Automatic kabisa makusanyo tunayokusanya kama nchi hayawezi kuhudumia mahitaji yote hayo, hivyo Serikali ingeelimisha watu umuhimu wa hiyo miradi, na kuwashauri watu kubuni njia ya dharura kufikia lengo ikiwemo kubana matumizi kwa serikali kuu, Bunge na Mahakama.

Ingetokea tangazo limetoka Bungeni, na wabunge wakatangazia umma kuwa katika posho zao za siku zinazofikia Hadi 360,000/= wameridhi wakatwe 200,000/= kila siku ya kikao Ili kuchangia mchango wa maendeleo japo kwamba nao wanakatwa Tozo wakifanya miamala hakuna mtu asingeelewa umuhimu wa kuchangia

Yaani Serikali inatangaza hadharani kuwa Rais anapokea mshaha kiasi X, Makamu wa Rais kiasi Y, Waziri Mkuu kiasi Z, spika, jaji mkuu na wengineo kiasi L, na kwa pamoja watapunguziwa mshahara na marupurupu kwa asilimia 40 au 50 katika kipindi hiki maalum. Watu wangeshangilia na wasingeona ugumu wa tozo wanazotozwa.

TUMECHELEWA?
Hatujachelewa sana, wenzetu nchi walizoendelea wanalipa Tozo Hadi za kumiliki Tv nyumbani kwao, kwamba ukimiliki TV, friji na vitu vyovyote ambavyo havikuzuii kuishi basi lazima ulipie Tozo.

Kama Taifa tunatakiwa turudi kwenye mjadala muhimu huu kujinusuru. Lazima tutafute suluhu kusonga mbele,

Tunapomlaumu Waziri Dkt. Mwigulu tukaliacha Bunge lililopaswa kutuelewesha umuhimu wa hii hatua ni kumuonea tu.

Tunapomlaumu Dkt. Mwigulu badala ya kupima dhamira, malengo na matumizi ya kilichokusanywa hadi sasa, ni kumsimanga tu na kuendeleza Nongwa.

Tunayo nafasi kama Taifa kuamua kujenga Taifa letu au tuendelee kutegemea wajomba na mashangazi.

Naishia hapa Kwa sasa nikiamini kuwa, kuliko kushangilia TOZO KUFUTWA TUSIKITIKE kwa sisi kuchagua kukataa kuchangia maendeleo yetu wenyewe.

Ndimi,
Habibu Mchange
Mwananchi wa kawaida

Mkuu mchange, pole kwa msiba pale kawe.
 
KUFURAHIA TOZO KUFUTWA NI KUFURAHIA UMASIKINI

Na. Habibu Mchange

Ni bahati mbaya sana jambo jema la Tozo limetafsiriwa tofauti na kugeuzwa agenda hasi dhidi ya serikali

Sijui kama tunafurahi kuomba msaada Japan kujenga matundu ya vyoo kama nchi.

Kuomba ufadhili ulaya na America kununuliwa vitabu vya mitaala ya mashuleni mwetu

Tunafurahi kuona barabarani Mabango yameandikwa BARABARA HII IMEJENGWA KWA MSAADA WA KODI ZA WATU WA MAREKANI/ULAYA ni hatari sana hii

Hatutaki kuchangia maendeleo, lakini tunataka maendeleo ya haraka.

Tunadai barabara, madaraja, mikopo vyuo vikuu, madrasa, vituo vya Afya, ajira mpya, ruzuku katika pembejeo za kilimo, miradi ya umeme, maji nakadharika.

Watu wavivu kufukiri wanasema mbona huko nyuma huduma hizo zilitolewa, zilitolewaje bila tozo?.

Hataki kujua kuwa hata katika level tu ya familia yake miaka kumi nyuma alikuwa na familia kubwa kiasi gani na alikuwa anatumia unga/Mchele/Mboga kiasi gani kwa siku, maana yake ni Nini, maana yake ni kuwa mahitaji huongezeka kila mara na vyanzo vya mapato visipoongezeka jamii huduma.

Kwenye hili la Tozo nafikiri lilipaswa kuita Mchango wa maendeleo kwamba mtu anakatwa kuchangia maendeleo maalum tena lingewekewa kipindi maalum. Nafikiri watu wangeeleweshwa wangeelewa na wangechanga bila shaka.

Yaani, Serikali ilipaswa kutuambia uwezo wake wa makusanyo kwa mwaka, ikalinganisha na matumizi yake (ikiwemo kulipa madeni ya muda mrefu na mfupi, kusomesha watoto bila malipo, kulipa mishahara watumishi wa umma, kujenga miradi ya kimkakati kama niliyoitaja huko juu. Nakadharika). Wakaonyesha gharama zake.

Automatic kabisa makusanyo tunayokusanya kama nchi hayawezi kuhudumia mahitaji yote hayo, hivyo Serikali ingeelimisha watu umuhimu wa hiyo miradi, na kuwashauri watu kubuni njia ya dharura kufikia lengo ikiwemo kubana matumizi kwa serikali kuu, Bunge na Mahakama.

Ingetokea tangazo limetoka Bungeni, na wabunge wakatangazia umma kuwa katika posho zao za siku zinazofikia Hadi 360,000/= wameridhi wakatwe 200,000/= kila siku ya kikao Ili kuchangia mchango wa maendeleo japo kwamba nao wanakatwa Tozo wakifanya miamala hakuna mtu asingeelewa umuhimu wa kuchangia

Yaani Serikali inatangaza hadharani kuwa Rais anapokea mshaha kiasi X, Makamu wa Rais kiasi Y, Waziri Mkuu kiasi Z, spika, jaji mkuu na wengineo kiasi L, na kwa pamoja watapunguziwa mshahara na marupurupu kwa asilimia 40 au 50 katika kipindi hiki maalum. Watu wangeshangilia na wasingeona ugumu wa tozo wanazotozwa.

TUMECHELEWA?
Hatujachelewa sana, wenzetu nchi walizoendelea wanalipa Tozo Hadi za kumiliki Tv nyumbani kwao, kwamba ukimiliki TV, friji na vitu vyovyote ambavyo havikuzuii kuishi basi lazima ulipie Tozo.

Kama Taifa tunatakiwa turudi kwenye mjadala muhimu huu kujinusuru. Lazima tutafute suluhu kusonga mbele,

Tunapomlaumu Waziri Dkt. Mwigulu tukaliacha Bunge lililopaswa kutuelewesha umuhimu wa hii hatua ni kumuonea tu.

Tunapomlaumu Dkt. Mwigulu badala ya kupima dhamira, malengo na matumizi ya kilichokusanywa hadi sasa, ni kumsimanga tu na kuendeleza Nongwa.

Tunayo nafasi kama Taifa kuamua kujenga Taifa letu au tuendelee kutegemea wajomba na mashangazi.

Naishia hapa Kwa sasa nikiamini kuwa, kuliko kushangilia TOZO KUFUTWA TUSIKITIKE kwa sisi kuchagua kukataa kuchangia maendeleo yetu wenyewe.

Ndimi,
Habibu Mchange
Mwananchi wa kawaida

Habibu Mchange ni punguani! Hapo anavizi uteyuzi siyo kwa kujitoa ufahamu hivyo! Yaani tutozwe watu waende wakafuje hela yetu? Wameshindwa nini kusimamia raslimali tulizojaliawa wakawekeza kwenye huduma za jamii?
 
Tumeendelea na kutozwa tozo, na kuombaomba ndo imeongezeka Mara dufu!

Wewe Change huoni hili?

Hizi tozo tunazotozwa bila kupewa listi ya Serikali au ya TRA, tunajuaje sisi ikiwa ni kweli zinaingia serikalini au zinaishia Kwa wajanja?

Mbona hamzitangazi kama ilivyokuwa awali?

Haieleweki zinajenga nini hizo tozo, madarasa ni zile za Kovidi, Sjui madarasa ni za mkopo Kutoka wapi huki, hizi za tozo ni sh ngapi na zinaenda wapi?
 
Tozo haina maana yoyote,Ibakie kodi tu.
Serikali ipunguze matumizi kukabiliana na hali ngumu
 
KUFURAHIA TOZO KUFUTWA NI KUFURAHIA UMASIKINI

Na. Habibu Mchange

Ni bahati mbaya sana jambo jema la Tozo limetafsiriwa tofauti na kugeuzwa agenda hasi dhidi ya serikali

Sijui kama tunafurahi kuomba msaada Japan kujenga matundu ya vyoo kama nchi.

Kuomba ufadhili ulaya na America kununuliwa vitabu vya mitaala ya mashuleni mwetu

Tunafurahi kuona barabarani Mabango yameandikwa BARABARA HII IMEJENGWA KWA MSAADA WA KODI ZA WATU WA MAREKANI/ULAYA ni hatari sana hii

Hatutaki kuchangia maendeleo, lakini tunataka maendeleo ya haraka.

Tunadai barabara, madaraja, mikopo vyuo vikuu, madrasa, vituo vya Afya, ajira mpya, ruzuku katika pembejeo za kilimo, miradi ya umeme, maji nakadharika.

Watu wavivu kufukiri wanasema mbona huko nyuma huduma hizo zilitolewa, zilitolewaje bila tozo?.

Hataki kujua kuwa hata katika level tu ya familia yake miaka kumi nyuma alikuwa na familia kubwa kiasi gani na alikuwa anatumia unga/Mchele/Mboga kiasi gani kwa siku, maana yake ni Nini, maana yake ni kuwa mahitaji huongezeka kila mara na vyanzo vya mapato visipoongezeka jamii huduma.

Kwenye hili la Tozo nafikiri lilipaswa kuita Mchango wa maendeleo kwamba mtu anakatwa kuchangia maendeleo maalum tena lingewekewa kipindi maalum. Nafikiri watu wangeeleweshwa wangeelewa na wangechanga bila shaka.

Yaani, Serikali ilipaswa kutuambia uwezo wake wa makusanyo kwa mwaka, ikalinganisha na matumizi yake (ikiwemo kulipa madeni ya muda mrefu na mfupi, kusomesha watoto bila malipo, kulipa mishahara watumishi wa umma, kujenga miradi ya kimkakati kama niliyoitaja huko juu. Nakadharika). Wakaonyesha gharama zake.

Automatic kabisa makusanyo tunayokusanya kama nchi hayawezi kuhudumia mahitaji yote hayo, hivyo Serikali ingeelimisha watu umuhimu wa hiyo miradi, na kuwashauri watu kubuni njia ya dharura kufikia lengo ikiwemo kubana matumizi kwa serikali kuu, Bunge na Mahakama.

Ingetokea tangazo limetoka Bungeni, na wabunge wakatangazia umma kuwa katika posho zao za siku zinazofikia Hadi 360,000/= wameridhi wakatwe 200,000/= kila siku ya kikao Ili kuchangia mchango wa maendeleo japo kwamba nao wanakatwa Tozo wakifanya miamala hakuna mtu asingeelewa umuhimu wa kuchangia

Yaani Serikali inatangaza hadharani kuwa Rais anapokea mshaha kiasi X, Makamu wa Rais kiasi Y, Waziri Mkuu kiasi Z, spika, jaji mkuu na wengineo kiasi L, na kwa pamoja watapunguziwa mshahara na marupurupu kwa asilimia 40 au 50 katika kipindi hiki maalum. Watu wangeshangilia na wasingeona ugumu wa tozo wanazotozwa.

TUMECHELEWA?
Hatujachelewa sana, wenzetu nchi walizoendelea wanalipa Tozo Hadi za kumiliki Tv nyumbani kwao, kwamba ukimiliki TV, friji na vitu vyovyote ambavyo havikuzuii kuishi basi lazima ulipie Tozo.

Kama Taifa tunatakiwa turudi kwenye mjadala muhimu huu kujinusuru. Lazima tutafute suluhu kusonga mbele,

Tunapomlaumu Waziri Dkt. Mwigulu tukaliacha Bunge lililopaswa kutuelewesha umuhimu wa hii hatua ni kumuonea tu.

Tunapomlaumu Dkt. Mwigulu badala ya kupima dhamira, malengo na matumizi ya kilichokusanywa hadi sasa, ni kumsimanga tu na kuendeleza Nongwa.

Tunayo nafasi kama Taifa kuamua kujenga Taifa letu au tuendelee kutegemea wajomba na mashangazi.

Naishia hapa Kwa sasa nikiamini kuwa, kuliko kushangilia TOZO KUFUTWA TUSIKITIKE kwa sisi kuchagua kukataa kuchangia maendeleo yetu wenyewe.

Ndimi,
Habibu Mchange
Mwananchi wa kawaida

Anza kulaumu serikali ya awamu ya tano kwa kuuwa miradi ya watu kupora pesa za watu mabenki na kukimbiza wawekezaji kwanza. Makufuli alijua anajenga kumbe wamejimwagia petroli. Wasingegusa maisha ya watu angalau watu wangevumilia.

Tupe kwanza mchakato wa hayo magari ya msafara ya milion 500 kuanzia ofisi ya rais Hadi kwa mkuu wa wilaya na wizara yanapatikana vipi ndio tuendelee na mjadala.


Unakwenda kuzindua zahanati ya milion 50 unakwenda na msafara wa mabilion ya pesa.

Halafu unasema unahitaji mchango wa tozo.

Huyu mdudu tozo akafie mbali.
 
Kabla ya tozo hali ilikuwaje? Mbona hata baada ya tozo madeni na kukopa vimeongezeka?
Hawa wajamaa inaonyesha hayo magari ya misafara wamekopa. Sasa ngoma ya kulipa wakiondoa tozo itakula kwao.

Watuambie Hapo ndani ya tozo Pana ulazima gani kama wananchi hawataki?

Kwa Nini tunalazimishana, badala ya kutafuta mbinu za ajira kwa vijana wetu wanasumbua raia na tozo.
 
Back
Top Bottom