Nikifa MkeWangu Asiolewe
JF-Expert Member
- Feb 26, 2024
- 11,252
- 24,091
Ndg zetu waislamu bila adhna asubuhi hamuwezi kuamka na kuswali au hata Ile mida y mchana kwamba Hadi mkumbushwe miaka na miaka?
Yaani hata kuweka alarm ya kuwaamsha kwamba muda wa swalaa umefika mkaswali ni hamna?
Mkumbuke hata Ile lugha mnayotumia wengi wetu ni sawa na kelele tu maana hatuielewi kabisa.
Naheshimu Imani yenu ila Adhana ni kero sana.
Yaani hata kuweka alarm ya kuwaamsha kwamba muda wa swalaa umefika mkaswali ni hamna?
Mkumbuke hata Ile lugha mnayotumia wengi wetu ni sawa na kelele tu maana hatuielewi kabisa.
Naheshimu Imani yenu ila Adhana ni kero sana.