Mwanaukweli
JF-Expert Member
- May 18, 2007
- 4,786
- 1,710
Huyu sijui TAKUKURU wamemkosaje? Alikuwa anatoa rushwa waziwazi.
Shughuli zake hazieleweki vizuri na kuna malalamiko mengi dhidi yake toka kwa wananchi juu ya Ujambazi.
Hivi Millenium hii ya pili bado viongozi wasio na Elimu wala maadili wana nafasi???
CCM safisheni aibu kama hizi!! Wapiga kura tunaona na tutaamua
Shughuli zake hazieleweki vizuri na kuna malalamiko mengi dhidi yake toka kwa wananchi juu ya Ujambazi.
Hivi Millenium hii ya pili bado viongozi wasio na Elimu wala maadili wana nafasi???
CCM safisheni aibu kama hizi!! Wapiga kura tunaona na tutaamua