Ndevu zimegoma kuota

Troublemaker

JF-Expert Member
Jun 8, 2015
19,882
38,512
Hello guys!

Hii kitu kwangu imeshakuwa serious sasa. Muonekano wangu na umri naona kama haviendani. Hv kipi kinasababisha wengine ndevu kuchelewa kuota? Hakuna jinsi naweza fanya ziote?

Asili ya nyumbani wote wana ndevu.

Mtu nakaribia 30 lakini bado naonekana mtoto sana.
Bt si kwamba nakimbilia ukubwa. Ila muonekano na umri viendane.
 
Hello guys!!

Hii kitu kwangu imeshakuwa serious sasa. Muonekano wangu na umri naona kama haviendani. Hv kipi kinasababisha wengine ndevu kuchelewa kuota? Hakuna jinsi naweza fanya ziote?
Asili ya nyumbani wote wana ndevu.
Mtu nakaribia 30 lakini bado naonekana mtoto sana.
Bt si kwamba nakimbilia ukubwa. Ila muonekano na umri viendane.
Usiseme kwamba kwenu wote wana ndevu. Inawezekana wewe siyo mtoto wa baba yako.
 
Hello guys!!

Hii kitu kwangu imeshakuwa serious sasa. Muonekano wangu na umri naona kama haviendani. Hv kipi kinasababisha wengine ndevu kuchelewa kuota? Hakuna jinsi naweza fanya ziote?
Asili ya nyumbani wote wana ndevu.
Mtu nakaribia 30 lakini bado naonekana mtoto sana.
Bt si kwamba nakimbilia ukubwa. Ila muonekano na umri viendane.
Maisha haya basi tu.. Natafuta dawa ya kudhibiti ndevu mwingine anazitaka
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom