Ndevu zimegoma kuota

Ndevu zimegoma kuota

Troublemaker

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2015
Posts
20,809
Reaction score
40,562
Hello guys!

Hii kitu kwangu imeshakuwa serious sasa. Muonekano wangu na umri naona kama haviendani. Hv kipi kinasababisha wengine ndevu kuchelewa kuota? Hakuna jinsi naweza fanya ziote?

Asili ya nyumbani wote wana ndevu.

Mtu nakaribia 30 lakini bado naonekana mtoto sana.
Bt si kwamba nakimbilia ukubwa. Ila muonekano na umri viendane.
 
Hello guys!!

Hii kitu kwangu imeshakuwa serious sasa. Muonekano wangu na umri naona kama haviendani. Hv kipi kinasababisha wengine ndevu kuchelewa kuota? Hakuna jinsi naweza fanya ziote?
Asili ya nyumbani wote wana ndevu.
Mtu nakaribia 30 lakini bado naonekana mtoto sana.
Bt si kwamba nakimbilia ukubwa. Ila muonekano na umri viendane.
Usiseme kwamba kwenu wote wana ndevu. Inawezekana wewe siyo mtoto wa baba yako.
 
Hello guys!!

Hii kitu kwangu imeshakuwa serious sasa. Muonekano wangu na umri naona kama haviendani. Hv kipi kinasababisha wengine ndevu kuchelewa kuota? Hakuna jinsi naweza fanya ziote?
Asili ya nyumbani wote wana ndevu.
Mtu nakaribia 30 lakini bado naonekana mtoto sana.
Bt si kwamba nakimbilia ukubwa. Ila muonekano na umri viendane.
Maisha haya basi tu.. Natafuta dawa ya kudhibiti ndevu mwingine anazitaka
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom