Naona mmechanganyikiwa kwa mziki anaowapigia, nyie simlisema chadema mwisho wake ni njia panda?
Mmeanza kuwehuka zaidi baada ya kilewo kuwapiga vizuri magamba pare yote, alianzia same kwa Matayo,Kilango kisha akahamia kwa Maghembe na alimpiga ipasavyo na kamwe kilewo hatutoacha kumuunga mkono ni kijana wetu hodari asiyemuogopa mtu, Nenda kijiji cha Lwami kaulize kilewo ni nani hapa Mwanga. Viongozi wenu wa mkoa walipiga simu mwanga kuuliza viongozi wa wilaya kwa kile kimachoendelea hapa Mwanga ma viongozi wa ccm hapa Mwanga waliwajibu wakubwa zako kuwa, mbona nyie mlishindwa kwenye uchaguzi hapo kiborloni mbona hatukuwauliza? Ni kweli hili jimbo kilewo amelifanya hamna na amefanya kazi kubwa kuliko mbunge wa jimbo.
wengi mnashangaa kwanini Kileo na hamshangaa kwanini kata ya kileo, hakika pare tumepata mkombozi wa kweli, tutampigania kileo kwa gharama zetu na hapa mwanga hatumlete mtu mwingine hapa ni kileo mwanzo mwisho, nenda kwako,kigonigoni,jipe,tologha,kivisini,lang'ata,kileo,mangara,kilomeni,kifula,chomvu,ugweno,kirongwe,shighatini na usangi kaulize kuhusu kileo watakueleza kileo ni nani, endelea kupiga kelele mitandaoni sisi tunapiga kazi, nadhani umeona timu ya kamanda kileo ilivyo imara mpaka mdongo wa mzee msuya ameukubali mziki amejiunga Chadema pamoja na familia yake yote. Kaka kileo kama usemavyo hili jimbo ni laini mno na umelilainisha kweli kweli tunaomba uendeleze tupo na wewe.