Nlipokuwa nikisikia UCHAGA na CHADEMA nilihisi ni chuki za watu wa mitaani lakini leo nausibitishia umma kwamba kilichomtoa ZITO CHADEMA ni UCHAGA NA UDINI.
Ndugu zangu wana jamii mimi ni mkazi wa MWANGA KILIMANJARO kwa kuzaliwa nakama mjuavyo sisi watu wa KILIMANJARO tumekwenda shule na kimsingi mkoa huu unamakabila mawili makuu yaani WACHAGA,WAPARE na kabila lingine dogo ndani ya wilaya ya MWANGA yaani WAGWENO.lkn ndani ya mkoa wa KILIMANJARO tuna majimbo 9 ya uchaguzi,kwa maana majimbo 6 kati ya hayo yapo UCHAGANI na 3 yako upareni kwa maana ya same2 na mwanga 1.
Dasa leo watu wa jimbo la mwanga lililojaa wasomi tunaandaliwa mgombea katika jimbo letu anae jitambulisha kuwa ni KATIBU wa mkoa wa kisiasa CHADEMA kinondoni na katibu wa makatibu wa Dar esalamu,kwa jina anaitwa HENDRY KILEWO, mtu huyu kiuhalisia ni MCHAGA lakini leo kwakupitia AGIZO la MWENYEKITI MBOWE kwamba kila afisa wa chama makao makuu akaandae jimbo na agombee, Kiongozi huyo MCHAGA akaona pakukimbilia ni mwanga kwakua WACHAGA wenzake walisha kamata majimbo yote ya UCHAGANI,sasa nataka CHADEMA watambue WAPARE tupo na tutagombea jimbo letu wenyewe kwa chama tukipendacho na huyo KILEWO arudi kwao moshi.
KILEWO baba yake ni MCHAGA na mama yake ni MJALUO alie lelewa na Baba wa kambo nje kidogo ya MJI WA MWANGA, CHADEMA mwaka 2010 wlipata kura 5000.nilifikiri wange zitunza sasa wamepoteza. hongera ZITO watu wa MWANGA tuko na wewe. nitaendelea...
Ndugu zangu wana jamii mimi ni mkazi wa MWANGA KILIMANJARO kwa kuzaliwa nakama mjuavyo sisi watu wa KILIMANJARO tumekwenda shule na kimsingi mkoa huu unamakabila mawili makuu yaani WACHAGA,WAPARE na kabila lingine dogo ndani ya wilaya ya MWANGA yaani WAGWENO.lkn ndani ya mkoa wa KILIMANJARO tuna majimbo 9 ya uchaguzi,kwa maana majimbo 6 kati ya hayo yapo UCHAGANI na 3 yako upareni kwa maana ya same2 na mwanga 1.
Dasa leo watu wa jimbo la mwanga lililojaa wasomi tunaandaliwa mgombea katika jimbo letu anae jitambulisha kuwa ni KATIBU wa mkoa wa kisiasa CHADEMA kinondoni na katibu wa makatibu wa Dar esalamu,kwa jina anaitwa HENDRY KILEWO, mtu huyu kiuhalisia ni MCHAGA lakini leo kwakupitia AGIZO la MWENYEKITI MBOWE kwamba kila afisa wa chama makao makuu akaandae jimbo na agombee, Kiongozi huyo MCHAGA akaona pakukimbilia ni mwanga kwakua WACHAGA wenzake walisha kamata majimbo yote ya UCHAGANI,sasa nataka CHADEMA watambue WAPARE tupo na tutagombea jimbo letu wenyewe kwa chama tukipendacho na huyo KILEWO arudi kwao moshi.
KILEWO baba yake ni MCHAGA na mama yake ni MJALUO alie lelewa na Baba wa kambo nje kidogo ya MJI WA MWANGA, CHADEMA mwaka 2010 wlipata kura 5000.nilifikiri wange zitunza sasa wamepoteza. hongera ZITO watu wa MWANGA tuko na wewe. nitaendelea...