fullcup
JF-Expert Member
- Jun 21, 2016
- 806
- 2,182
Hili jina kwangu sio geni na Leo nimejikuta nalitamka wakati napumzika kwenye mti.
Iko Hivi nimetoka shambani kuvuna alizeti Sasa wakati natua mzigo nikavuta pumzi nikawa naitoa taratibu na kusema " Ndesambulo"
Sasa naomba wanabodi mnijuze huyu alikuwa au ni nani na yupo wapi anafanya nini maana huenda akawa ni connection yangu kwenye ajira za SENSA na UALIMU maana sio kawaida yangu kutaja majina ya watu.
Iko Hivi nimetoka shambani kuvuna alizeti Sasa wakati natua mzigo nikavuta pumzi nikawa naitoa taratibu na kusema " Ndesambulo"
Sasa naomba wanabodi mnijuze huyu alikuwa au ni nani na yupo wapi anafanya nini maana huenda akawa ni connection yangu kwenye ajira za SENSA na UALIMU maana sio kawaida yangu kutaja majina ya watu.