Mario Kejob
JF-Expert Member
- Apr 14, 2020
- 441
- 536
Imekuwa ni muda mrefu sasa hatujakuona ukicheza katika timu yetu pendwa na tatizo sijui nini. Myself nai-miss sana ile mikwaju yako ya mbali ambayo katika timu yetu hiyo ni speciality yako tu na simuoni mchezaji mwingine kufanya hivyo.
Wasiwasi wangu ni kuona kipaji hiki kinaweza kupotea na sielewi ni kwa nini kocha ameshindwa kukupa hata game time ya dakika 15 tu. Taarifa nilizonazo ni kwamba you are doing wonders in practices lakini kwenye game hupangwi.
Mchezaji kama wewe unahitajika sana na hasa pale timu inapokuwa imebanywa sana na timu pinzani na hasa pale wanapo-pack basi na kufanya penatration kuwa ngumu zaidi. Ma-shoot yako ya mbali yangekuwa mkombozi sahihi dhidi ya mbinu hiyo.
Suala la kusajili wachazaji 30 na wanaocheza ni 15 tu mwaka mzima siliafiki kabisa kwani hupelekea kuua vipaji vya wachezaji.
Nimemzungimzia Ndemla kama point of reference tu lakini wapo wachezaji wengi tu ambao wamekosa fursa za kuonyesha vipaji vyao.
Na baadhi yao ndio walio ibeba timu kupata bingwa mbalimbali kabla hawa ma-geneous wetu kuwasili. Je imeshindikana hata kuwatafutia mechi za kirafiki tu nao wanoe misuli yao?. Na kwa huyo golie namba 3 wa Simba hata jina lake nimemsahau kabisa!
Practice makes perfect. They have practiced enough now they need game time na hasa pale timu inaopoongoza kwa mfano mabao matatu au manne bila, sioni ni kwa nini Gadiel Michael, Dilunga Amme and others wasimalizie mchezo. Sielewi kinachoendelea mawazoni mwao, but for me it's just not fair.
Wasiwasi wangu ni kuona kipaji hiki kinaweza kupotea na sielewi ni kwa nini kocha ameshindwa kukupa hata game time ya dakika 15 tu. Taarifa nilizonazo ni kwamba you are doing wonders in practices lakini kwenye game hupangwi.
Mchezaji kama wewe unahitajika sana na hasa pale timu inapokuwa imebanywa sana na timu pinzani na hasa pale wanapo-pack basi na kufanya penatration kuwa ngumu zaidi. Ma-shoot yako ya mbali yangekuwa mkombozi sahihi dhidi ya mbinu hiyo.
Suala la kusajili wachazaji 30 na wanaocheza ni 15 tu mwaka mzima siliafiki kabisa kwani hupelekea kuua vipaji vya wachezaji.
Nimemzungimzia Ndemla kama point of reference tu lakini wapo wachezaji wengi tu ambao wamekosa fursa za kuonyesha vipaji vyao.
Na baadhi yao ndio walio ibeba timu kupata bingwa mbalimbali kabla hawa ma-geneous wetu kuwasili. Je imeshindikana hata kuwatafutia mechi za kirafiki tu nao wanoe misuli yao?. Na kwa huyo golie namba 3 wa Simba hata jina lake nimemsahau kabisa!
Practice makes perfect. They have practiced enough now they need game time na hasa pale timu inaopoongoza kwa mfano mabao matatu au manne bila, sioni ni kwa nini Gadiel Michael, Dilunga Amme and others wasimalizie mchezo. Sielewi kinachoendelea mawazoni mwao, but for me it's just not fair.