Saidi Hamisi Juma (born 10 March 1996), known as Ndemla, is a Tanzanian footballer who plays as a midfielder for Premier League club Simba SC and the Tanzania national team.
Ni Mchezaji ambaye sijui Mpuuzi gani ndani ya Simba SC alishauri atolewe kwa Mkopo.
Said Hamis Ndemla ni Kiungp mwenye Kipaji kikubwa cha Soka na ana Faida kadhaa Kukaba, Kupiga Mashuti ni mzuri katika namba zote za Kiungo ile ya Sita na Nane na huzitendea haki.
Anaondoka Mkude niliyemlea...
Watu wa Soka,
Leo tumemtambulisha rasmi kiungo bora wa soka hapa nchini, Said Hamis Ndemla, ambaye amesaini kutupatia huduma yake kwa miaka miwili.
Ndemla sifa zake zinajieleza zenyewe. Amekuwa mchezaji ambaye kiwango chake kinapanda siku hadi siku. Atatufaa sana kwenye kufikia malengo yetu ya...
Habari za muda huu
Naleta mada kibishi hapa jukwaani.
Hivi wanasimba wenzangu hatuwezi kushinikiza Said Ndemla kurudishwa kikosini?
Ukilinganisha Aliondolewa Ndemla akaletwa kanute na Abdulswamadu lakin Abdulswamadu akashindwa kushaine hivyo akatolewa kwa mkopo.
Saiv uongozi unahangaika na...
Imekuwa ni muda mrefu sasa hatujakuona ukicheza katika timu yetu pendwa na tatizo sijui nini. Myself nai-miss sana ile mikwaju yako ya mbali ambayo katika timu yetu hiyo ni speciality yako tu na simuoni mchezaji mwingine kufanya hivyo.
Wasiwasi wangu ni kuona kipaji hiki kinaweza kupotea na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.