WILLIAM MARCONI
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 2,070
- 827
Asante Baba Magu. Ila ungewahi kidogo hii ingempeleka mgonhwa wetu Nairobi.Bombadier nyingine ya 3 kuwasili nchini mwezi huu, Serikali imeshatenga Sh. Bilioni 500 kwa ajili ya malipo ya awali ya ndege nyingine 3. [HASHTAG]#Tuliahidi[/HASHTAG] [HASHTAG]#Tunatekeleza[/HASHTAG]
View attachment 526212
haijafika bado?Bombadier nyingine ya 3 kuwasili nchini mwezi huu, Serikali imeshatenga Sh. Bilioni 500 kwa ajili ya malipo ya awali ya ndege nyingine 3. [HASHTAG]#Tuliahidi[/HASHTAG] [HASHTAG]#Tunatekeleza[/HASHTAG]
View attachment 526212
Mkalipe madeni kwanzaBombadier nyingine ya 3 kuwasili nchini mwezi huu, Serikali imeshatenga Sh. Bilioni 500 kwa ajili ya malipo ya awali ya ndege nyingine 3. [HASHTAG]#Tuliahidi[/HASHTAG] [HASHTAG]#Tunatekeleza[/HASHTAG]
View attachment 526212
We unaonekana c mtanganyika we utakuwa ni wa kutoka alikotoka sizonje
Sisi watumishi wa serikali hatujaongezewa mishahara kwakuwa raisi wetu mtukufu aliwaita viongozi wetu wa vyama vya wafanyakazi hapo ikulu . Ilikuwa ni wiki moja kabla ya may mosi, aliwaita na kuwapa kitu kidogo nyumba, viwanja, pesa nk. Ili wamkalie kimya huku aliendelea kukiuka mikataba ya ajira. Hili tunalijua na hata anunje ndege laki moja kwa pamoja lakini ajue tunafanya kazi huku tumemgomea.Bombadier nyingine ya 3 kuwasili nchini mwezi huu, Serikali imeshatenga Sh. Bilioni 500 kwa ajili ya malipo ya awali ya ndege nyingine 3. [HASHTAG]#Tuliahidi[/HASHTAG] [HASHTAG]#Tunatekeleza[/HASHTAG]
View attachment 526212
Utakuwa unamamtamani wewe na familia yako sio mataifa mengine. Mtu anavuruga nchi kwa kutokufuata sheria wewe unasema tunamtamani? Twambie zile ndege za kwanza zilizo nunuliwa ni salama kwa usafiri wa binaadamu angani? Nani wa kumhoji wakati taratibu za manunuzi hazijafuatwa?Wewe kama ulisha laaniwa ulilaaniwa tu kamwe laana hiyo haita kutoka mtu mmoja amesimama kwaajili ya Watanzania na Taifa kwa ujumla bado mnashindwa kumsapoti hakika nimeamini Nabii hapati heshima kwao Nchi ilikuwa haina ndege hata moja huyu amethubutu bado tunamdhihaki hakika wenzetu mataifa mengine wanamtamani sisi tunaleta dhihaka hakika MUNGU Atusaidie Sana tumejisahau tunashabikia kuliko ukweli.
Iko wapi hiyo ndege we mwehu?Ha!ha! Magu anawakomoa tena kwa kuleta Bombardier nyingine!
Unafikiri ndege sawa Na kununua dala dala za mbagara?Labda zinunuliwe kwa jina la Rwanda,tupotishiwe kinyemela
Nchi imekaa bila ndege kwa muda sasa lkn haikuwa issue. mchango wa ndege kwa maendeleo ya nchi sio mkubwa kivile. Boresheni umeme, kilimo, mifugo na uvuvi ili mwananchi wa kawaida aneemeke. mtaelewa 2020Wewe kama ulisha laaniwa ulilaaniwa tu kamwe laana hiyo haita kutoka mtu mmoja amesimama kwaajili ya Watanzania na Taifa kwa ujumla bado mnashindwa kumsapoti hakika nimeamini Nabii hapati heshima kwao Nchi ilikuwa haina ndege hata moja huyu amethubutu bado tunamdhihaki hakika wenzetu mataifa mengine wanamtamani sisi tunaleta dhihaka hakika MUNGU Atusaidie Sana tumejisahau tunashabikia kuliko ukweli.
ungekuwa unajitambua usingevaa bikiniOna akili yako ilivyofungwa na mistari ya kubuni ya kikoloni...
Imefika?Bombadier nyingine ya 3 kuwasili nchini mwezi huu, Serikali imeshatenga Sh. Bilioni 500 kwa ajili ya malipo ya awali ya ndege nyingine 3. [HASHTAG]#Tuliahidi[/HASHTAG] [HASHTAG]#Tunatekeleza[/HASHTAG]
View attachment 526212
NaamNchi imekaa bila ndege kwa muda sasa lkn haikuwa issue. mchango wa ndege kwa maendeleo ya nchi sio mkubwa kivile. Boresheni umeme, kilimo, mifugo na uvuvi ili mwananchi wa kawaida aneemeke. mtaelewa 2020
vip ile iliyo stag Canada imekombolewaBombadier nyingine ya 3 kuwasili nchini mwezi huu, Serikali imeshatenga Sh. Bilioni 500 kwa ajili ya malipo ya awali ya ndege nyingine 3. [HASHTAG]#Tuliahidi[/HASHTAG] [HASHTAG]#Tunatekeleza[/HASHTAG]
View attachment 526212
ungekuwa unajitambua usingevaa bikini
ongezea hayo naweweUmeona BA KLM na Lufthansa tu hujaona mashirika mengine makubwa ya Africa kwa mfano Kenya Ethiopia Rwanda na South Africa?
Bado haijafika tunamkaba manji kwanza akilipa ile bil.12 tunaenda kulipa deni la mkandarasi atuachie pangaboy letuIko wapi hiyo ndege we mwehu?