mjumbe wa bwana
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 5,188
- 6,011
labda ilikuwa inasumbua kwenye ya rivers ndo maana wameipeleka gereji
Hauna..... haja ya kujua... lengo lako na akili yako imekaa ki upinzani.... kama hautaki majibu haya baasi elezea unachokitaka weww....Gereji? ile si ilikuwa mpya kabisa
walisema hata tule nyasi lazma inunuliwe mramba alikula cha juuina maana kabla ya uamuzi wa kuinunua hawakufanya cost analysis hii? Nawauliza hawa watu wa PPRA?
Ule tuliokula nyasi?Poleni na mjadala wa Katiba; mimi leo nimeota rais akiwa anapanda ndege imeandikwa Tanzania Air Force One; akielekea nje ya nchi; Nikiwa njiani kuja hapa kibaruani kwangu nikawaza maswali mengi tu bila kupata majibu sahihi; Je ndege hii ipo wapi? Je ina hali gani kwa sasa? Je ilishawahi kufanya safari ngapi nje na ndani ya nchi? ilinunuliwa bei gani? Nikifika aiport yetu huwa najitahidi sana kuangaza angaza ili walau niione lakini wapi? anyejua anijuze maana mali hii ni yetu sote watanzania.
labda washapewa jwtzSijui!! labda ipo gereji au wamesha ipiga......UTAWAWEZA???