SINA TAARIFA NA NDEGE YA FASTJET ILIOTAKA ANGUKA lakini nina ushauri wa bure kwa watumiaji wa ndege za makampuni yetu: watumie at their own risk? ni mitumba ya ndege ambazo ulaya huuzwa kama yuma chakavu, tz hatuna udhibiti wa muda wa mwisho kuruka ndege kwa sababu ya siasa kuingilia utaalamu na miradi yote hiyo nyuma yake kuna vigogo!