ngoshombasa
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 435
- 232
Nimeambiwa na rafiki Yangu aliyekuwa amepanda Fast jet Dar-Mwanza Leo asbh ilitaka kudondoka wakati ikiruka kutoka uwanja wa dar. Rubani alifanikiwa kuishusha na abiria wakabadilishiwa ndege nyingine.
Rafiki yangu hakutoa maelezo zaidi ninaomba mwenye habari kamili atujuze.
Asanteni.
Rafiki yangu hakutoa maelezo zaidi ninaomba mwenye habari kamili atujuze.
Asanteni.