Wahudumu wa Air Tanzania (ATCL) lazima mjue kututendea sawa wasafiri wote kwenye ndege zenu bila kujali rangi ya ngozi zetu.

The Assassin

JF-Expert Member
Oct 30, 2018
4,355
17,320
Kwa kweli sijawahi kupanda ndege za ATCL katika safari za ndani zaidi ya fast jet.

Juzi nilisafiri na ndege ya ATCL toka mwanza baada ya ndege ya fastjet kuniacha kuja Dar es salaam.

Kwenye seat ya pembeni yangu alikua amekaa mzungu, wahudumu walipoanza kugawa viburudisho waliamzia abiria wa mbele kule karbu na rubani.

Mara ya kwanza waligawa vikaisha kati, wakafuata vingine, sisi tukiwa seat karbu na mwisho huku, walipotoka kwenye chumba kuchukua viburudisho, wakamchangamkia yule mzungu na kumuuliza anataka nini, alipowajibu wakamhudumia wakiniacha mimi jirani yake kisha wakaenda kule walikoishia kugawa viburudiaho na kuendelea na ratba yao.

Vikasha kabla hawajatufikia tuliokua kule nyuma, wakafuata vingine na kuendelea na ugawaji kama kawaida, hadi wananifikia jirani yangu mzungu alikua keshamaliza vyake muda mrefu.

Hilo jambo lilinikwaza sana, watanzania tunabuana hadi kwenye vyombo vya usafiri.

Niwaambie tu kua siku nyingine sitapanda ndege zenu. Endeleeni kupapatikia wazungu utafikiri wao wanalipa dhahabu.
 
Kwa kweli sijawahi kupanda ndege za ATCL katika safari za ndani zaidi ya fast jet.

Juzi nilisafiri na ndege ya ATCL toka mwanza baada ya ndege ya fastjet kuniacha kuja Dar es salaam.

Kwenye seat ya pembeni yangu alikua amekaa mzungu, wahudumu walipoanza kugawa viburudisho waliamzia abiria wa mbele kule karbu na rubani.

Mara ya kwanza waligawa vikaisha kati, wakafuata vingine, sisi tukiwa seat karbu na mwisho huku, walipotoka kwenye chumba kuchukua viburudisho, wakamchangamkia yule mzungu na kumuuliza anataka nini, alipowajibu wakamhudumia wakiniacha mimi jirani yake kisha wakaenda kule walikoishia kugawa viburudiaho na kuendelea na ratba yao.

Vikasha kabla hawajatufikia tuliokua kule nyuma, wakafuata vingine na kuendelea na ugawaji kama kawaida, hadi wananifikia jirani yangu mzungu alikua keshamaliza vyake muda mrefu.

Hilo jambo lilinikwaza sana, watanzania tunabuana hadi kwenye vyombo vya usafiri.

Niwaambie tu kua siku nyingine sitapanda ndege zenu. Endeleeni kupapatikia wazungu utafikiri wao wanalipa dhahabu.
Unatafuta nini kwenye upuuzi?
 
Kwa kweli sijawahi kupanda ndege za ATCL katika safari za ndani zaidi ya fast jet.

Juzi nilisafiri na ndege ya ATCL toka mwanza baada ya ndege ya fastjet kuniacha kuja Dar es salaam.

Kwenye seat ya pembeni yangu alikua amekaa mzungu, wahudumu walipoanza kugawa viburudisho waliamzia abiria wa mbele kule karbu na rubani.

Mara ya kwanza waligawa vikaisha kati, wakafuata vingine, sisi tukiwa seat karbu na mwisho huku, walipotoka kwenye chumba kuchukua viburudisho, wakamchangamkia yule mzungu na kumuuliza anataka nini, alipowajibu wakamhudumia wakiniacha mimi jirani yake kisha wakaenda kule walikoishia kugawa viburudiaho na kuendelea na ratba yao.

Vikasha kabla hawajatufikia tuliokua kule nyuma, wakafuata vingine na kuendelea na ugawaji kama kawaida, hadi wananifikia jirani yangu mzungu alikua keshamaliza vyake muda mrefu.

Hilo jambo lilinikwaza sana, watanzania tunabuana hadi kwenye vyombo vya usafiri.

Niwaambie tu kua siku nyingine sitapanda ndege zenu. Endeleeni kupapatikia wazungu utafikiri wao wanalipa dhahabu.
Mkuu nakupongeza kwa kuliona hilo. Watanzania wengi wanabaguana wenyewe kwa wenyewe. Siyo kwenye Ndege tu hata sehemu za starehe ama kumbi za starehe.

Mimi majuzi Kati pale hapa ilinotokea ktk jengo la kibo complex. Kuna sehemu fulani kibo ukiingia lazima ukaguliwe, ni sehemu iliyotulia kwa mapumziko ama mtoko wa wikendi (floor ya 2). Sasa mim nilifuatana na wazungu wawili wao walitangulia Mimi nyuma yao. Wao hawakukaguliwa Mimi nikakaguliwa, nikauliza kulikoni wao hawajakaguliwa. Majibu niliyopata najua mwenyewe.

Watanzania tuacheni tabia hizi si nzuri. Kila binadamu ana haki yake ya kuheshimiwa na kuthaminiwa.
 
Waliambiwa Serikali imenunua ndege ili kuvuta watalii wengi kuja nchini hivyo kipaumbele ni watalii kuja nchini.
 
Kwa kweli sijawahi kupanda ndege za ATCL katika safari za ndani zaidi ya fast jet.

Juzi nilisafiri na ndege ya ATCL toka mwanza baada ya ndege ya fastjet kuniacha kuja Dar es salaam.

Kwenye seat ya pembeni yangu alikua amekaa mzungu, wahudumu walipoanza kugawa viburudisho waliamzia abiria wa mbele kule karbu na rubani.

Mara ya kwanza waligawa vikaisha kati, wakafuata vingine, sisi tukiwa seat karbu na mwisho huku, walipotoka kwenye chumba kuchukua viburudisho, wakamchangamkia yule mzungu na kumuuliza anataka nini, alipowajibu wakamhudumia wakiniacha mimi jirani yake kisha wakaenda kule walikoishia kugawa viburudiaho na kuendelea na ratba yao.

Vikasha kabla hawajatufikia tuliokua kule nyuma, wakafuata vingine na kuendelea na ugawaji kama kawaida, hadi wananifikia jirani yangu mzungu alikua keshamaliza vyake muda mrefu.

Hilo jambo lilinikwaza sana, watanzania tunabuana hadi kwenye vyombo vya usafiri.

Niwaambie tu kua siku nyingine sitapanda ndege zenu. Endeleeni kupapatikia wazungu utafikiri wao wanalipa dhahabu.
hiyo ni roho ya utumwa inawasumbua
 
Kwa kweli sijawahi kupanda ndege za ATCL katika safari za ndani zaidi ya fast jet.

Juzi nilisafiri na ndege ya ATCL toka mwanza baada ya ndege ya fastjet kuniacha kuja Dar es salaam.

Kwenye seat ya pembeni yangu alikua amekaa mzungu, wahudumu walipoanza kugawa viburudisho waliamzia abiria wa mbele kule karbu na rubani.

Mara ya kwanza waligawa vikaisha kati, wakafuata vingine, sisi tukiwa seat karbu na mwisho huku, walipotoka kwenye chumba kuchukua viburudisho, wakamchangamkia yule mzungu na kumuuliza anataka nini, alipowajibu wakamhudumia wakiniacha mimi jirani yake kisha wakaenda kule walikoishia kugawa viburudiaho na kuendelea na ratba yao.

Vikasha kabla hawajatufikia tuliokua kule nyuma, wakafuata vingine na kuendelea na ugawaji kama kawaida, hadi wananifikia jirani yangu mzungu alikua keshamaliza vyake muda mrefu.

Hilo jambo lilinikwaza sana, watanzania tunabuana hadi kwenye vyombo vya usafiri.

Niwaambie tu kua siku nyingine sitapanda ndege zenu. Endeleeni kupapatikia wazungu utafikiri wao wanalipa dhahabu.
Ulichukua hatua gani mkuu?
 
Japokuwa cjawahi kutumia huo usafiri ila hizo Ndege zimenunuliwa kwa pesa zetu sisi walala hoi kwahyo wanatakiwa watupe respect kuliko hizo rangi nyeupe
 
Mliambiwa hizo ndege ni kwaajili ya kukuza utalii. Wewe ukihudumiwa ni zali tu, lakini huduma imewalenga watalii.
Bora siku nyingine upande treni au bus, ndege uwaachie watalii.
 
Kwa kweli sijawahi kupanda ndege za ATCL katika safari za ndani zaidi ya fast jet.

Juzi nilisafiri na ndege ya ATCL toka mwanza baada ya ndege ya fastjet kuniacha kuja Dar es salaam.

Kwenye seat ya pembeni yangu alikua amekaa mzungu, wahudumu walipoanza kugawa viburudisho waliamzia abiria wa mbele kule karbu na rubani.

Mara ya kwanza waligawa vikaisha kati, wakafuata vingine, sisi tukiwa seat karbu na mwisho huku, walipotoka kwenye chumba kuchukua viburudisho, wakamchangamkia yule mzungu na kumuuliza anataka nini, alipowajibu wakamhudumia wakiniacha mimi jirani yake kisha wakaenda kule walikoishia kugawa viburudiaho na kuendelea na ratba yao.

Vikasha kabla hawajatufikia tuliokua kule nyuma, wakafuata vingine na kuendelea na ugawaji kama kawaida, hadi wananifikia jirani yangu mzungu alikua keshamaliza vyake muda mrefu.

Hilo jambo lilinikwaza sana, watanzania tunabuana hadi kwenye vyombo vya usafiri.

Niwaambie tu kua siku nyingine sitapanda ndege zenu. Endeleeni kupapatikia wazungu utafikiri wao wanalipa dhahabu.
Nenda na precision Mkuu,hawana mambo hayo.Uzalendo ndio kama Services ziko sawa la ni kuchagua pale panapokidhi hela unayolipa.inaelekea hawajahitimu vizuri somo la psychology unapohudumia abiria.Halafu usijeshangaa pengine yeye hajaona kabisa kuwa kafanya makosa.
 
Mkuu nakupongeza kwa kuliona hilo. Watanzania wengi wanabaguana wenyewe kwa wenyewe. Siyo kwenye Ndege tu hata sehemu za starehe ama kumbi za starehe.

Mimi majuzi Kati pale hapa ilinotokea ktk jengo la kibo complex. Kuna sehemu fulani kibo ukiingia lazima ukaguliwe, ni sehemu iliyotulia kwa mapumziko ama mtoko wa wikendi (floor ya 2). Sasa mim nilifuatana na wazungu wawili wao walitangulia Mimi nyuma yao. Wao hawakukaguliwa Mimi nikakaguliwa, nikauliza kulikoni wao hawajakaguliwa. Majibu niliyopata najua mwenyewe.

Watanzania tuacheni tabia hizi si nzuri. Kila binadamu ana haki yake ya kuheshimiwa na kuthaminiwa.
Ni kweli. Waafrika tunadharauliana wenyewe. Sikutegemea kama athari za utumwa zinaingia ndani ya ubongo namna hii. Ukitaka kuona vituko nenda uwanja wa ndege wa Julius Nyerere Dar sehemu ya kuombea visa. Kwa wale watanzania waliochukua uraia wa nchi nyingine wanapokuja Bongo inabidi waombe visa. Kawaida huwa passport zinakusanywa na kuingizwa ndani kugongewa viza. Wanakuwa wanazitoa kwa mafungu eg kumi au pungufu. Sasa wanapokuwa wanasoma majina kuchukua passport ambazo tayari zimeshagongewa viza kama jina ni la mzungu wakati wa kupokea utakuta afisa uhamiaji anampa kwa tabasamu na maneno ya ukarimu ajabu. Ikifika zamu ya mtanzania mama wewe... afisa ananuna utafikiri amekunywa supu ya acid. Hataangalia hata anayempa.
 
Mtoa mada siku nyingine ujitahidi uwe una mwonekano mzuri!sasa kama ulivaa kisukuma unakuja kumlaumu nani hapa
 
Kwa kweli sijawahi kupanda ndege za ATCL katika safari za ndani zaidi ya fast jet.

Juzi nilisafiri na ndege ya ATCL toka mwanza baada ya ndege ya fastjet kuniacha kuja Dar es salaam.

Kwenye seat ya pembeni yangu alikua amekaa mzungu, wahudumu walipoanza kugawa viburudisho waliamzia abiria wa mbele kule karbu na rubani.

Mara ya kwanza waligawa vikaisha kati, wakafuata vingine, sisi tukiwa seat karbu na mwisho huku, walipotoka kwenye chumba kuchukua viburudisho, wakamchangamkia yule mzungu na kumuuliza anataka nini, alipowajibu wakamhudumia wakiniacha mimi jirani yake kisha wakaenda kule walikoishia kugawa viburudiaho na kuendelea na ratba yao.

Vikasha kabla hawajatufikia tuliokua kule nyuma, wakafuata vingine na kuendelea na ugawaji kama kawaida, hadi wananifikia jirani yangu mzungu alikua keshamaliza vyake muda mrefu.

Hilo jambo lilinikwaza sana, watanzania tunabuana hadi kwenye vyombo vya usafiri.

Niwaambie tu kua siku nyingine sitapanda ndege zenu. Endeleeni kupapatikia wazungu utafikiri wao wanalipa dhahabu.

WEWE NI MUONGO MADA YAKO HAINA TIJAUNALETA UBAGUZI TU WATU WOTE WANAHUDUMIWA SAWA HAKUNA MZUNGU WALA MUAFRICA
 
Mleta mada unalalamika nini kumbe uliachwa na fastjet ndio ukaenda ATCL sasa tatizo nini wewe unaeshobokea fastjet kuhudumiwa kwa utaratibu wa kufuata walipoishia huduma. Au ulipanda ATCL ili uichafue na huu upuuzi wako. Acha hizo. Kwa taarifa yako fastjet hali si shwari hata CEO wao alishajiengua fastjettz ndio maana uChairman kapewa mpigali Masha. Kalaga baho.
 
Back
Top Bottom