Ndege ya ATCL yachelewa kuondoka ndani ya muda; watoa ufafanuzi!

Status
Not open for further replies.

Pascal Mayalla

Platinum Member
Sep 22, 2008
50,499
113,605
Wanabodi,

Leo nikiwa abiria wa ndege yetu kwenda Bukoba, ndege imecheleweshwa for 45 good minutes kwa sababu zilizo nje ya uwezo wa ATCL, ikiwemo baadhi ya abiria, ambao walifika on time, akiwemo waziri mmoja, lakini wakajikuta wakicheleweshwa kucheck in, kulikopelekea ndege kuchelewa kidogo tuu kwa dakika 45!.

Uzalendo ni pamoja na kuwa mkweli daima when things are not right, binafsi, my number one choice ya ndege ni ATCL, nitapanda ndege nyingine kwenye zile routes tuu ambazo ATCL haiendi.

Saa hizi ndio tunaondoka.
Abiria Mtiifu wa Bombadia
Paskali

=====

Update:

Tumefika salama, tukiwa njiani, Cabin Crew aliomba msamaha, na baadae Captan pia akaomba msamaha, na kwa bahati nzuri, pale Mwanza hakuna abiria aliyekuwa na connecting flight kusema uchelewaji huo, umemuathiri saana kivile, labda mimi tuu, nilichelewa kuwa registered kwa ziara fulani, lakini kesho tutakuwa wote Mutukula.

Nimezungumza na CEO wa ATCL, Mr. Ladislaus Matinde, akiwa nchini Canada, amenifafanulia kilichotokea, na nimemuelewa, ni kuwa tulichelewa kwa sababu zilizo nje ya uwezo wa ATCL.

Pole sana Mhe. Waziri na abiria wengine wote uliocheleweshwa kuchekiwa in.
Poleni sana ATCL, kwa watu wa check in kuwachelewesha. Hili ni shirika letu, tulipende na kulitumia.
Asante sana Mr. Matinde kwa Ufafanuzi.

Mods for the sake of uzalendo wa taifa letu na kujenga a good image ya shirika letu, nashauri huu uzi sasa ufungwe, tuendelee na shughuli nyingine za kulijenga taifa letu.
NB. Nimeshauri na sijaamuru.
Asanteni
Paskali
 
Kwanza hongera kwa kuunga mkono shirika letu kwa kusafiri nalo ila hilo jambo halikubaliki hata kidogo wakitathimini sio kila kitu mpaka rais aseme,kama alilala gest akapitiwa angewachwa ikawa fundisho na tupe jina la huyo waziri tumshughulikie kidogo!
 
Wanabodi,

Shirika la ndege la ATC ya zamani lilikufa kutokana na kuendekeza siasa kwenye usafirishaji.

Leo nikiwa abiria wa ndege yetu kwenda Bukoba, ndege imecheleweshwa for 45 good minutes Kumsubiri abiria kigogo ambaye ni mhe waziri.

Hatuwezi kwenda hivi. Huwezi Kuchelewesha abiria wote kwa ajili ya mtu mmoja. Ndege ya kuyafanya hayo ni ndege za Serikali na sio hii ndege ya kibiashara.

Kama waziri kuchelewa ana chater sio.
Hii ni dalili ya lack of seriousness, kwa mtindo huwezi kufanya biashara ya ushindani. Siti ya nyuma yangu, kuna Mhaya mmoja ana wageni wazungu amepaka sana.

Amedemand abiria tuambiwe ukweli ni nini kinaendelea...

Uzalendo ni pamoja na kuwa mkweli daima when things are not right.

Saa hizi ndio tunaondoka.
This is not fair!.
Abiria Mtiifu wa Bombadia
Paskali
Why not take fastjet? Au nao ni hao hao!
 
Mmmh yaan wakati wengine mnakurupuka kuoga,kuvaa,waziri ndo kwanza anajigeuza kuuchapa usingizi vizuri. Mnafika uwanjani yeye bado ndotoni. Mmepanda chomboni ndo anaamka na kujianda taratiiiibu. Mnalalamika weee anakunywa chai. Dah ukiwa na cheo raha sana karaha kwa wengine. Poleni wasafiri wa humo kwenye ndege
 
Kuna mtu alishalalamikia jambo la hiyo tabia yao humu kwa ndege hizo za hilo shirika.

Hivi hawachajiwi kwa muda wa uwepo wa mdege hapo? Huyo Waziri kupitia wizara yake ndio inabidi alipe gharama za muda kama zipo.
 
Mkuu wazoee hao ndivyo walivyo.. Bora ufike salama maana hawachelewi kusema mlango ulijifungua mkiwa angani so wanatua kwa dharura
 
Paskali hii ni nchi maskini huwezi kuipima kwa googles za Ulaya. Waziri angeachwa vita vingapi vingelala. Ila nakubaliana apologies zingepita preferably na waziri mwenyewe kwa Captain, along with the shukurani of course. Ila si apologies kwa abiria inawezekana humo humo kukawa na wale waliotuchongea hadi bombadier nyenzake ikakamatwa.
 
Wanabodi,

Shirika la ndege la ATC ya zamani lilikufa kutokana na kuendekeza siasa kwenye usafirishaji.

Leo nikiwa abiria wa ndege yetu kwenda Bukoba, ndege imecheleweshwa for 45 good minutes Kumsubiri abiria kigogo ambaye ni mhe waziri.

Hatuwezi kwenda hivi. Huwezi Kuchelewesha abiria wote kwa ajili ya mtu mmoja. Ndege ya kuyafanya hayo ni ndege za Serikali na sio hii ndege ya kibiashara.

Kama waziri kuchelewa ana chater sio.
Hii ni dalili ya lack of seriousness, kwa mtindo huwezi kufanya biashara ya ushindani. Siti ya nyuma yangu, kuna Mhaya mmoja ana wageni wazungu amepaka sana.

Amedemand abiria tuambiwe ukweli ni nini kinaendelea...

Uzalendo ni pamoja na kuwa mkweli daima when things are not right.

Ila pia kwenye mawaziri kuna mawaziri na mawaziri, tumepanda na mawaziri 4, tena mmoja very senior lakini amewahi. Waziri aliyekuwa akisubiriwa ni wa Wizara nzito ku justify kusubirisha abiria 80 kwa ajili yake. Aliyekuwa waziri wangu Juliana Shonza sijui kama angesubiriwa.


Saa hizi ndio tunaondoka.
This is not fair!.
Abiria Mtiifu wa Bombadia
Paskali
Umeshasahau "Any Time Canceled Limited" ATCL
 
Wanabodi,

Shirika la ndege la ATC ya zamani lilikufa kutokana na kuendekeza siasa kwenye usafirishaji.

Leo nikiwa abiria wa ndege yetu kwenda Bukoba, ndege imecheleweshwa for 45 good minutes Kumsubiri abiria kigogo ambaye ni mhe waziri.

Hatuwezi kwenda hivi. Huwezi Kuchelewesha abiria wote kwa ajili ya mtu mmoja. Ndege ya kuyafanya hayo ni ndege za Serikali na sio hii ndege ya kibiashara.

Kama waziri kuchelewa ana chater sio.
Hii ni dalili ya lack of seriousness, kwa mtindo huwezi kufanya biashara ya ushindani. Siti ya nyuma yangu, kuna Mhaya mmoja ana wageni wazungu amepaka sana.

Amedemand abiria tuambiwe ukweli ni nini kinaendelea...

Uzalendo ni pamoja na kuwa mkweli daima when things are not right.

Ila pia kwenye mawaziri kuna mawaziri na mawaziri, tumepanda na mawaziri 4, tena mmoja very senior lakini amewahi. Waziri aliyekuwa akisubiriwa ni wa Wizara nzito ku justify kusubirisha abiria 80 kwa ajili yake. Aliyekuwa waziri wangu Juliana Shonza sijui kama angesubiriwa.


Saa hizi ndio tunaondoka.
This is not fair!.
Abiria Mtiifu wa Bombadia
Paskali


Paskali..

Hii ni aibu.. Ila nikurekebishe kidogo, Ndege za Serikali yaani TGFA, hazibebi mawaziri, meaning mawaziri hawako entitled to fly TGFA... Ndege za Serikali ni kwa ajili ya Mkuu wa nchi Rais wa JMT, Rais wa Znz, Makamu wa Rais wa Bara, Waziri Mkuu & Makamu wa Rais Znz..

So ikiwa waziri atakuwa ktk msafara wa mmojawapo hapo juu atapanda Ndege za Serikali hilo hakuna shida.. But wao kama mawaziri tu hawako entitled kupanda Ndege za Serikali unless awe kwenye msafara wa wakubwa hao niliowataja...

Waziri kuchelewesha ATCL ni kosa kubwa sana sana, sbb hiyo kuchelewesha dk 45 itaharibu schedule ya flight ya siku nzima na kutia hasara ya mamilioni shirika la ATCL.. Ni hasara mno mno mtu kuchelewesha schedule flight, sbb itaharibu ratiba ya siku nzima ya hiyo ndege na hasara kubwa itafuata..

Mh. Rais ampe ONYO kali waziri huyo.. Onyo kali kabisa kabisa..
 
Wanabodi,

Shirika la ndege la ATC ya zamani lilikufa kutokana na kuendekeza siasa kwenye usafirishaji.

Leo nikiwa abiria wa ndege yetu kwenda Bukoba, ndege imecheleweshwa for 45 good minutes Kumsubiri abiria kigogo ambaye ni mhe waziri.

Hatuwezi kwenda hivi. Huwezi Kuchelewesha abiria wote kwa ajili ya mtu mmoja. Ndege ya kuyafanya hayo ni ndege za Serikali na sio hii ndege ya kibiashara.

Kama waziri kuchelewa ana chater sio.
Hii ni dalili ya lack of seriousness, kwa mtindo huwezi kufanya biashara ya ushindani. Siti ya nyuma yangu, kuna Mhaya mmoja ana wageni wazungu amepaka sana.

Amedemand abiria tuambiwe ukweli ni nini kinaendelea...

Uzalendo ni pamoja na kuwa mkweli daima when things are not right.

Ila pia kwenye mawaziri kuna mawaziri na mawaziri, tumepanda na mawaziri 4, tena mmoja very senior lakini amewahi. Waziri aliyekuwa akisubiriwa ni wa Wizara nzito ku justify kusubirisha abiria 80 kwa ajili yake. Aliyekuwa waziri wangu Juliana Shonza sijui kama angesubiriwa.


Saa hizi ndio tunaondoka.
This is not fair!.
Abiria Mtiifu wa Bombadia
Paskali
Hapa unakuta hiyo tiketi kakatiwa na serikali kwa vocha ambayo iyo hela inaweza kaaaa hata miaka 3 haijalibwa,
Kama kawaida serikali kuchelewesha kulipa madeni ya huduma na bidhaaa ilizotumia eg maji,umeme, wakandarasi.............
 
Wanabodi,

Shirika la ndege la ATC ya zamani lilikufa kutokana na kuendekeza siasa kwenye usafirishaji.

Leo nikiwa abiria wa ndege yetu kwenda Bukoba, ndege imecheleweshwa for 45 good minutes Kumsubiri abiria kigogo ambaye ni mhe waziri.

Hatuwezi kwenda hivi. Huwezi Kuchelewesha abiria wote kwa ajili ya mtu mmoja. Ndege ya kuyafanya hayo ni ndege za Serikali na sio hii ndege ya kibiashara.

Kama waziri kuchelewa ana chater sio.
Hii ni dalili ya lack of seriousness, kwa mtindo huwezi kufanya biashara ya ushindani. Siti ya nyuma yangu, kuna Mhaya mmoja ana wageni wazungu amepaka sana.

Amedemand abiria tuambiwe ukweli ni nini kinaendelea...

Uzalendo ni pamoja na kuwa mkweli daima when things are not right.

Ila pia kwenye mawaziri kuna mawaziri na mawaziri, tumepanda na mawaziri 4, tena mmoja very senior lakini amewahi. Waziri aliyekuwa akisubiriwa ni wa Wizara nzito ku justify kusubirisha abiria 80 kwa ajili yake. Aliyekuwa waziri wangu Juliana Shonza sijui kama angesubiriwa.


Saa hizi ndio tunaondoka.
This is not fair!.
Abiria Mtiifu wa Bombadia
Paskali
Bora wewe umecheleweshwa dakika 45, mimi nilicheleweshwa masaa 2 kwa kusubiri kamati ya miundombinu imalize vikao vyao............ili shirika lisitegemee kukua au kujiendesha kwa upuuzi huu kwenye biashara, mwisho wa siku wateja wao watakua ni wafanyakazi wa serikali tuu
 
Kama tunanunua ndege alafu tunaziendesha kihuni bila kuwapa full authority management kushindana kihuduma hili shirika litakufa na ndege zake .....tunamuunga mkono JPM lakini si namna hii ...kila siku tunaulizana kwanini viwanda vya Nyerere vilikufa vyote alafu na sisi tunaleta mazoea kwenye serious issues
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom