Supu ya kokoto
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 4,609
- 8,310
Ana nyumba nzuri na kubwa kuliko za WAHA.(Watani zangu)
Leta zako za ukweli sasaHuyo alieweka hiyo picha hajui. Kiota cha fundi chuma ni kikubwa lakini hakifikii hicho cha weaver birds ambacho kinasukwa na ndege wengi wanaishi hapo kama colony.
Pia sifa nyingi zilizoandikwa hapa kumhusu huyu ndege ni kweli lakini zimezidishwa chumvi (exaggeration).
uladyibhikala?Ana nyumba nzuri na kubwa kuliko za WAHA.(Watani zangu)
Unajua kusoma wewe kenge?Leta zako za ukweli sasa
Kenge ni mamaako.Unajua kusoma wewe kenge?
Qumer wewe.Kenge ni mamaako.
Dah hahahahahahahaa nmeenda kumuangalia huyo ndege nimecheka sana, kwahyo mkuu kichwani upo kama yule ndege.Kwa mila za kwetu tunaamini, ukichoma nyumba yake, nayq kwako anakuja usiku anachomq, nilikuwa simpendi maana marafiki zangu walipenda kunitania kwa kuniita jina lake, kisa nina kisogo
Anaitwa fundi chuma.Kumbe unamjua? Nimesoma habari zake nikacheka kweli... Kwenye viota vyao wachunguzi wanakuta humo vitu vikubwa hadi wanajiuliza kabebaje 🤣
Nina kisogo kama sululu 😂Dah hahahahahahahaa nmeenda kumuangalia huyo ndege nimecheka sana, kwahyo mkuu kichwani upo kama yule ndege.
Very funnyKipi cha uongo mkuu? Anika boxer yako aione kama hajaenda kuifanya mto wa kulalia
Hahaahahah ukivaa kofia inakuwa kama umevalisha kisogo barakoa mkuu.Nina kisogo kama sululu 😂