Papaa Mobimba
JF-Expert Member
- Jan 27, 2018
- 754
- 3,097
Papaa mobimba ndio lemutuz ninii
Uzi bila picha haonogiKapicha basi mkuu mobimba
Nyie wapingaji wa ufipa hii sio pangaboi tena, duh! Endeleeni na vijimaneno vyenu vya kimbowembowe, eti oh bibi yangu kule kijijini atafaidikaje na hili lidege sijui nini, upuuzi mtupu. [HASHTAG]#Hapakazitu[/HASHTAG].
Ndio maana makao yao makuu yanaendelea kuchakaa, na wanataka nchi nzima iendelee kuchakaa kama pale Ufipa Kinondoni.Hao vijana wa Ufipa niwakupuuzwa hawana walijualo
Kufuata mkumbo tu
Haswaa!Inabeba abiria wangapi? Hii sasa ndiyo ndege
Wameshindwa kujiongoza nani atakubari wamuongoze!!Ndio maana makao yao makuu yanaendelea kuchakaa, na wanataka nchi nzima iendelee kuchakaa kama pale Ufipa Kinondoni.
Hata mamvi keshawashtukia.Wameshindwa kujiongoza nani atakubari wamuongoze!!