Yona F. Maro
R I P
- Nov 2, 2006
- 4,202
- 218
matatizo ktk biashara ya ndege ni kitu cha kawaida,kuna hali ya hewa,na mengineyo meengi,sasa kwa precision kulaza mara 3,mwezi uliopita sio kweli,pili ililaza mara moja,na ni abiria wa mombasa,sababu ilikua hali ya hewa mbaya,na wasingeweza kurisk maisha ya abiria,
ndio iwalaze uwanja wa ndege ? Vipi wale wa mwanza ? Unatufanya sisi hatufuatilii mambo haya ??