minji
JF-Expert Member
- Sep 2, 2016
- 2,750
- 4,967
Ulishawahi kuonja kitoweo cha huyo ndege??
Hapana sijawah kuonja
Ulishawahi kuonja kitoweo cha huyo ndege??
Hapo kuna manyoya mifupa utumbo miguu nk, vinakuwa exceptionssijui
ni nzur sana nyama ya mbuniHapana sijawah kuonja
Ila utakuja kujaribu siku moja sioHapana sijawahi kabisa
mkuu havitazid kilo 20 aiseee nina uzoefu na ndege hyu anafugwa sana huku nlipo na kuna mwaka nlikuwa mhudum wa zizi la mbuni yaan kuwapa chakula na maji pia kusafisha zizi laoHapo kuna manyoya mifupa utumbo miguu nk, vinakuwa exceptions
Yap pia usipende kula vyakula vilivyokobolewa yaani mfano kama ni unga wa ugali usikoboe kabla ya kusaga we saga tu hivyohivyo na usipende kutumia madawa ovyo bila kufuata ushauri wa daktari maana mengine yana madhara. Nakumbuka kuna jirani yetu mmoja mke wake alipewa dawa za kuongeza nguvu za kike aisee huweziamini zile dawa zilimfanya mgumba wa maisha kwa hiyo usipende tu kutumia madawa ovyo maana unaweza ukaongeza tatizo badala ya kutatua tatizoHilo ninalitekeleza kwa umakini kabisa. Vipi kuhusu hivi vyakula vya kisasa, havina impact yoyote kwenye hii ishu?
Kabisa Mkuu hata mimea itakuwa inawanyonge waoNi kweli Mkuu.
Hii ndiyo huitwa ECO-SYSYTEM.Yaani sote tunaishi kwa kutegemeana.Tumewazidi maarifa Samaki,Ngombe,Mbuzi nk ndio maana tunawala.Nao pia wameizidi mimea maarifa.The same kwa samaki,kawazidi maarifa baadhi ya wadudu.
GOD is awesome.
Yaani huu ushauri umenikumbusha juu ya ushauri wa Shehe Kipozeo kuhusu masuala ya kuku wa kienyeji na kuku wa kisasaYap pia usipende kula vyakula vilivyokobolewa yaani mfano kama ni unga wa ugali usikoboe kabla ya kusaga we saga tu hivyohivyo na usipende kutumia madawa ovyo bila kufuata ushauri wa daktari maana mengine yana madhara. Nakumbuka kuna jirani yetu mmoja mke wake alipewa dawa za kuongeza nguvu za kike aisee huweziamini zile dawa zilimfanya mgumba wa maisha kwa hiyo usipende tu kutumia madawa ovyo maana unaweza ukaongeza tatizo badala ya kutatua tatizo
vipi ushawapata??Dah ngoja niandae mazingira. Inabidi wakae mbali na nyuki.
Pale itunundu Mkuu?wanafugwa kwa kibal lakin....nliwah shuhudia misheni moja huko pawaga wakifugwa lkn nyuki ndo adui namba moja wa mbuni yaan dakika tu anauawa
vipi ushawapata??
ok,nimekupata niggerWazo lilifutika mkuu.
Japo ya siku nyingi....Lakini nimekumbuka kitu,zamani kidogo (Kama miaka 10 iliyopita) nilisoma kitabu cha Alfa Lela Ulela.
Humo nilisoma ndege mkubwa kuliko wote duniani anaitwa Rock,ukubwa wake ni sawa na mti.
Hii ikoje?