Ndege mkubwa kuliko ndege wote duniani

Ndege mkubwa kuliko ndege wote duniani

Yaani mbuni ana life expectancy kubwa kuliko mtanzania...Dah mods ondoeni huu Uzi
Ha! Ha! Dah! Umenifanya nicheke peke yangu sebureni, yaan mod waondoe uzi ha! ha! Yaani kuna watu wakifa humu jamii forum mimi naacha kabisa jamii forum yenyewe, mmoja wewe.
 
Duh tumeumbwa kwa kutegemeana yeye anakula mjusi sie tunamla yeye hata mjusi na yeye kuna mdudu anamla acha Mungu aitwe Mungu

Ni kweli Mkuu.

Hii ndiyo huitwa ECO-SYSYTEM.Yaani sote tunaishi kwa kutegemeana.Tumewazidi maarifa Samaki,Ngombe,Mbuzi nk ndio maana tunawala.Nao pia wameizidi mimea maarifa.The same kwa samaki,kawazidi maarifa baadhi ya wadudu.

GOD is awesome.
 
Nataka nyama ya mbuni, naskia inaongeza nguvu
Usijali mkuu katika sekta ya utalii pia kuna bush meat ya wageni wanaotaka kula nyama pori na hata Serengeti ipo na nyama ya mbuni inauzwa elfu kumi kwa kilo moja kwa hiyo Kama unataka nyama ya mbuni andaa Safari uende Serengeti utaikuta
 
Usijali mkuu katika sekta ya utalii pia kuna bush meat ya wageni wanaotaka kula nyama pori na hata Serengeti ipo na nyama ya mbuni inauzwa elfu kumi kwa kilo moja kwa hiyo Kama unataka nyama ya mbuni andaa Safari uende Serengeti utaikuta
Nikitaka mbuni mzima, kwaajili ya mlo wa familia vipi hapo? Nitapimiwa kwa hiyo hiyo bei ama inapungua?
 
Nikitaka mbuni mzima, kwaajili ya mlo wa familia vipi hapo? Nitapimiwa kwa hiyo hiyo bei ama inapungua?
ina ukubwa gan hyo familia muhitaj kilo 150 za mbuni?
au hujasoma maelezo kuwa ni mzito usidhan bata huyo
 
Ahaa!! kama ni nguvu za Mwilini kuna uwezekano huo japo sina ufahamu na nyama yake vizuri.Anaweza kuwa na nutrients kama walizonazo jamii nyingine ya Ndege.
Nakubaliana na wewe, pia nahisi huyu ndege atakuwa na kitoweo kizuri chenye ladha ya tofauti kidogo na ndege wengine kama ilivyo kwa wanyama.....wapo wenye nyama ya next level of taste
 
Zipo mkuu. Kila siku fanya mazoezi angalau kwa saa mbili pia uwe unakula mlo kamili ikiwemo matunda na mbogamboga za majani, machicha ya nazi, maziwa pamoja na karanga mbichi hizi ndo njia sahihi sisizo na madhara
Hilo ninalitekeleza kwa umakini kabisa. Vipi kuhusu hivi vyakula vya kisasa, havina impact yoyote kwenye hii ishu?
 
Back
Top Bottom