Peter jaluo
JF-Expert Member
- Nov 10, 2013
- 1,750
- 253
Ningejua nisinge poteza muda kufungua hapa
Umejuaje kama ni utani?
Mods wamebadilisha title ya mwanzo...sijui kwa nini huwa wanafanya hivi hawa ndugu!!!
Siku hizi mkuu hauhitaji kutaja shirika...Mkuu sikutaja shirika la ndege....
Mods wamebadilisha title ya mwanzo...sijui kwa nini huwa wanafanya hivi hawa ndugu!!!
Ungenizabua kisarawe hapo ingebidi nitoke mbio nyingi sana kuokoa maisha yanguMimi ningekuzabua Kisarawe
Itabidi jopo la kutafuta hiyo ndege ije maeneo ya maili moja, kiluvya mpaka Kibamba ccm huenda imepeperukia maeneo hayo
Heheheh ishia huko huko