Hapo kwenye tume unanikumbusha nilikuwa nasoma katuni moja ya kipanya kikwete alikuwa anaulizwa na yule kipanya hivi mkuu huoni kwamba hizi tume zinakula hela nyingi tofauti na tatizo la awali tume zilivyoundwa kwa ajili yake???,'akajibu kwamba ngoja niunde tume ichunguze kama kweli tume huwa zinakula hela sana'
Wangetafutwa wahandisi wakapelekwa hoteli ya nyota tano kupewa semina ya namna ya kutafuta mabaki ya wahanga wa ndege.
Siku ripoti inakabidhiwa ikulu ingekuwa bonge la sherehe na mukulu lazima apige mapich ya kutosha