Ndege iliyopotea kama ingekuwa ni ya Tanzania?

Hapo kwenye tume unanikumbusha nilikuwa nasoma katuni moja ya kipanya kikwete alikuwa anaulizwa na yule kipanya hivi mkuu huoni kwamba hizi tume zinakula hela nyingi tofauti na tatizo la awali tume zilivyoundwa kwa ajili yake???,'akajibu kwamba ngoja niunde tume ichunguze kama kweli tume huwa zinakula hela sana'

ha ha ha ha haaaa
 
Wangetafutwa wahandisi wakapelekwa hoteli ya nyota tano kupewa semina ya namna ya kutafuta mabaki ya wahanga wa ndege.

Siku ripoti inakabidhiwa ikulu ingekuwa bonge la sherehe na mukulu lazima apige mapich ya kutosha

semina ingechukua wiki 5 nadhani
 
Nyie mbona mnawaza makubwa hivyo tujiulize kwanza ya mv bukoba na nungwi yaani mtu unakufa unajiona livelive bila chenga baadae watu wanakula hadi rambirambi za marehemu mfano chris lukos .
 
Yaani nimechekaje mie, hata wa nchi za nje wangeogopa kuingilia tume za kula pesa tu bila kutumia akili.
 
Back
Top Bottom