Theodore Bagwell
JF-Expert Member
- Jan 13, 2014
- 940
- 222
tungesikia hasara iliyopatikana inakadriwa kuwa bilioni 125
Najaribu kuvuta picha, nini kingetokea kama ndege iliyopotea ingekuwa ni ya Tanzania, kuna baadhi ya matukio yangetokea kama vile: 1. Serikali ingetoa mapumziko nchi nzima 2. Zingeundwa tume kama 700 hivi kutafuta chanzo cha kupotea kwa ndege, na tume nyingine 900 kutafuta ndege ilipo. Endelea na wewe kutuambia unahisi nini kingejiri hapa Bongo...
Gazeti la Ijumaa lingeandika "Ndege Yaonekana Tabata"
Najaribu kuvuta picha, nini kingetokea kama ndege iliyopotea ingekuwa ni ya Tanzania, kuna baadhi ya matukio yangetokea kama vile: 1. Serikali ingetoa mapumziko nchi nzima 2. Zingeundwa tume kama 700 hivi kutafuta chanzo cha kupotea kwa ndege, na tume nyingine 900 kutafuta ndege ilipo. Endelea na wewe kutuambia unahisi nini kingejiri hapa Bongo...
Najaribu kuvuta picha, nini kingetokea kama ndege iliyopotea ingekuwa ni ya Tanzania, kuna baadhi ya matukio yangetokea kama vile: 1. Serikali ingetoa mapumziko nchi nzima 2. Zingeundwa tume kama 700 hivi kutafuta chanzo cha kupotea kwa ndege, na tume nyingine 900 kutafuta ndege ilipo. Endelea na wewe kutuambia unahisi nini kingejiri hapa Bongo...