Ndege-gari?maajabu ya Dunia!

eRRy

JF-Expert Member
Jun 12, 2009
1,125
204
Terrafugia_Formation.jpg


TransitionRoad.jpg


TransitionGasStation.jpg


TransitionGarage.jpg


source: http://www.terrafugia.com/photogallery.html
 
MIMI napenda sana filamu za james Bond 007, Roger Moore aliwahi kuigiza na gari kama hiyo, duniani kuna mambo
 
Kwa foleni za Dar es Salaam hii inafaa sana! Ukifika pale Kimara-Suka ukakuta li-foleni Unabadilisha gear unapaa mpaka PPF Tower down-town!
 
MIMI napenda sana filamu za james Bond 007, Roger Moore aliwahi kuigiza na gari kama hiyo, duniani kuna mambo

Tha filam was "The Man with the golden gun" aka Mr Scaramanga (Christopher Lee). The filam was made 1974. Mi nilikuwa nampenda "Supershort"

[ame]http://www.youtube.com/watch?v=nqGdh77TFgM[/ame]
 
Tha filam was "The Man with the golden gun" aka Mr Scaramanga (Christopher Lee). The filam was made 1974. Mi nilikuwa nampenda "Supershort"

http://www.youtube.com/watch?v=nqGdh77TFgM
ni kweli ni filamu hiyo Mr Scaramanga, bado naikmbuka, asante kwa link.
PAMOJA kwamba Filamu nyingi za Bond 007 ZIMEJAA technologia za kufikirika naamini kuna kitu wanakifikiria katika ulimwengu halisi, sasa fikiri juu ya filamu hiyo ya 1974, director aliwaza nini, hawa watu wanafikiri sana.
 
hahahahahaha safi sana.
wakikuzingua ardhini unakwea angani kudadeki
 
safi sana kwa bongo,tusaidie kupata bei ili sisi wa gongo la mboto tumpunguze kuwahi kamka asubuhi saa tisa kuwahi foleni ya tazara,chama,ilala
 
Back
Top Bottom