Sisi wengine hatuelewagi darasani hadi twisheniSasa somo la nini wakati utakachojifunza hakitekelezeki?
Kwa mfano hii no 6 siku nikileta kaufundi kidogo kwenye mechi anawaka ooh umajulia wapi? lazima kuna mtu...........6. Kuwa mtu ambae anaweza akajifunza hili au lile kutoka kwako. Usiwe mtu ambae kila siku ni yule yule bila nyongeza yoyote.