Nimemuona ndio. . kwani unadhani nilikua simtegemei? We shauri lako kama ulikua hujui mahusiano yetu ni strictly professional.
Young lady kumbuka hakuna binadamu mwingine ambaye anaweza kuwa wewe, sasa kutaka mwenzako abadilike kwa kila kitu ili awe wewe ni next to Impossible.
Haiwezekani kijana asipitie baadhi ya step za maisha kwa mtazamo wako, ni sawa na kijana wa under 30 yrs umuambie msiwe mnakwenda Disco kwa sababu ni uharibifu wa pesa!!
Pili kuhusu sigara solution ya muda mfupi kwanza iwe ni marufuku kuvuta sigara nyumbani, sigara avute huko akiwa anapiga ulabu, pia unaweza kumnunulia baadhi ya mouth freshener spray ili mnapoingia kwenye section ya denda usikereke, kumbuka hata wewe una mapungufu yako ambayo huenda yeye anaogopa kukwambia ili asikukwaze, hakuna maisha bila kuvumiliana otherwise mume/mke unaemtaka umuumbe wewe mwenyewe.
Asipokugongea LIKE basi ujumbe umefika. . .lolz
Watu wengine ni very strategic. Sasa kama hayo umeshasema ni kama ilani ya ccm na kwamba hayatekelezeki unatafuta namba ya mtoa mada ya nini? Ama una agenda nyingine?? Weka wazi hapa.Mada yako nzuri kama ilani ya CCM ilivyo nzuri, lakini haitekelezekiHata hivyo nitaomba MOD wanipe no yako nikutafute unipe darasa kirefu zaidi, unasemaje? just to advice me
Asante kwa useful post...
Ila 13 na 14...
Dah... Ni mambo muhimu,ila wanaume tunaweza,ila yanataka mwanamke understanding..
pa kumpatia sasa..ndiyo kazi..
Poa Lizzy. Naona upo online. Nimeshindwa nisaidie how can up load my avatar in my profile? Mi mgeni labda ndo maana najaribu ila nashindwa. can you brief me?Karibu na asante IKHO.
Poa Lizzy. Naona upo online. Nimeshindwa nisaidie how can up load my avatar in my profile? Mi mgeni labda ndo maana najaribu ila nashindwa. can you brief me?
Enhee. . . .
Mrengo wako ni kuboresha mahusiano kati ya watu wawili...
Je sexual act ina umuhimu katika hili? Na kwa kiasi gani? Kikubwa au sawa kama mambo mengine..
Ofcourse it is. . .hukuona "BAD GIRLS ARE SEXY"? Kama hukuona angalia hapa . . . .
https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/219085-bad-girls-are-sexy.html
Anyway umuhimu wake unaendana na matakwa ya wahusika wenyewe. Ila generally inatakiwa ipewe nafasi na muda wa kutosha ili kuwe na balance. Sio muda wote mnakua mnahangaika na mambo mengine ambayo mngeweza mkayafanya hata na marafiki zenu alafu mnasahau lile ambalo ndio haswa linatofautisha urafiki pekee na urafiki ndani ya mahusiano. Ndio maana yanaitwa mahusiano ya kimapenzi. . .kwasababu mapenzi ni kiungo kikuu kwenye mahusiano ya mke na mume/wapenzi.