Speaker
JF-Expert Member
- Aug 12, 2010
- 6,324
- 2,233
Tumekua katika mahusiano toka tukiwa wadogo,...
toka enzi hizo niko form4 na binti huyu akiwa form2.
Ingawa tulikuwa wadogo sana,hatukujua kama tutakuja kuwa na
ndoto za kuoana baadae.Lakini jinsi miaka ilivo kwenda tuliweka malengo
ya kuja kuishi pamoja.
Binti ni mstaarabu sana,siwezi jisema niko vipi ila ndani ya miaka mitano
na unusu tulio kuwa pamoja nilimsaliti na kupata mtoto na dada mwingine.
nilipata mtoto na mtu nisiye kuwa na future nae,na binti huyu nilipo
mweleza,japo ili muumiza kwa mda mrefu sana alikubali kutovunja
uhusiano wetu pale ulipo fikia.
Nampenda sana,na hivi juzi nilipo kwenda nyumbani for christimas,..
nilimwambia mzazi wangu (mama )kuwa nimempenda huyo binti na
tuna tarajia kuishi pamoja.
Alimsifu kwamba ni binti mzuri wa tabia na mstaarabu sana.
na akadai kama tabia aliyo nayo ni ya mama yake (uvumilivu) basi atakuwa mke mwema sana.
Aliniumiza mwisho aliposema,kwamba mama mdogo wa huyo binti alizaa na mjomba wangu (hawa kuoana).
Nilipo muuliza binti kuhusu hiyo habari akasema ni kweli,na mtoto ana fanana kweli na mjomba wangu
lakini yeye haoni kama ni kikwazo maana hawa kuoana.
Binafsi naona kama ni tatizo/kizingiti kimeingia kati yetu.
Pamoja na hivo,nadhani kwendelea mbele ni rahisi kuliko kurudi nyuma baada ya kuona kizingiti hiki.
Sina uhakika kama ni sahihi mimi kuja kuishi kama mke na mume na binti ambaye
mama mdogo wake kazaa na mjomba wangu.
Too bad nimeondoka nyumbani bila kupata ushauri zaidi na siwezi kuongelea this matter on phone.
Nipeni mawazo yenu,niendelee mbele au ni sawa na kuoana na ndugu yangu
Regards,.
Clemmy
toka enzi hizo niko form4 na binti huyu akiwa form2.
Ingawa tulikuwa wadogo sana,hatukujua kama tutakuja kuwa na
ndoto za kuoana baadae.Lakini jinsi miaka ilivo kwenda tuliweka malengo
ya kuja kuishi pamoja.
Binti ni mstaarabu sana,siwezi jisema niko vipi ila ndani ya miaka mitano
na unusu tulio kuwa pamoja nilimsaliti na kupata mtoto na dada mwingine.
nilipata mtoto na mtu nisiye kuwa na future nae,na binti huyu nilipo
mweleza,japo ili muumiza kwa mda mrefu sana alikubali kutovunja
uhusiano wetu pale ulipo fikia.
Nampenda sana,na hivi juzi nilipo kwenda nyumbani for christimas,..
nilimwambia mzazi wangu (mama )kuwa nimempenda huyo binti na
tuna tarajia kuishi pamoja.
Alimsifu kwamba ni binti mzuri wa tabia na mstaarabu sana.
na akadai kama tabia aliyo nayo ni ya mama yake (uvumilivu) basi atakuwa mke mwema sana.
Aliniumiza mwisho aliposema,kwamba mama mdogo wa huyo binti alizaa na mjomba wangu (hawa kuoana).
Nilipo muuliza binti kuhusu hiyo habari akasema ni kweli,na mtoto ana fanana kweli na mjomba wangu
lakini yeye haoni kama ni kikwazo maana hawa kuoana.
Binafsi naona kama ni tatizo/kizingiti kimeingia kati yetu.
Pamoja na hivo,nadhani kwendelea mbele ni rahisi kuliko kurudi nyuma baada ya kuona kizingiti hiki.
Sina uhakika kama ni sahihi mimi kuja kuishi kama mke na mume na binti ambaye
mama mdogo wake kazaa na mjomba wangu.
Too bad nimeondoka nyumbani bila kupata ushauri zaidi na siwezi kuongelea this matter on phone.
Nipeni mawazo yenu,niendelee mbele au ni sawa na kuoana na ndugu yangu
Regards,.
Clemmy