No Escape
JF-Expert Member
- Mar 7, 2016
- 6,663
- 7,743
Aisee! Ndani ya daladala kuna kero jamani mtu unaweza kuwa upo kimya unawaza mambo yako kichwani, mara konda au abiria mwenzako akalianzisha utajuta kupanda daladala hilo mbaya zaidi kushuka huwezi maana kama hujachelewa kazini basi nyumbani kwako.
Huu ni uzi maalum wa kushare kero mbalimbali ndani ya daladala na kushirikiana jinsi gani ya kuzitatua. Mnaowahi kukaa siti za dirishani kwenye daladala mnakera sana yaani mnafunga vioo wakati gari limejaa hata pa kuweka pua hakuna tupumuliane kwenye makwapa au?
Huu ni uzi maalum wa kushare kero mbalimbali ndani ya daladala na kushirikiana jinsi gani ya kuzitatua. Mnaowahi kukaa siti za dirishani kwenye daladala mnakera sana yaani mnafunga vioo wakati gari limejaa hata pa kuweka pua hakuna tupumuliane kwenye makwapa au?