Ndani ya chadema ni mvurugano tu, wapo walio bora na wasio bora, ndiyo shida kuu!

Crocodiletooth

JF-Expert Member
Oct 28, 2012
19,019
21,558
Kwa jinsi nilivyotonywa na paparazzi maalumu ambaye yu ndani ya chadema na ni mwanachama wao kinda kinda ki, wapo wanaopewa kipaumbele cha kifedha ili kujenga mahekalu yao na familia zao, kibaya zaidi wapo waliowekwa pembeni na hawaruhusiwi kuhoji lolote, suala hili linaleta shida na tabu kubwa miongoni mwa viongozi wa safu ya juu ya kiutendaji ya chama hicho!,
Hekima, mizunguko ya kufaidishana iipitie safu yote ya Uongozi na si kubaguana, yule apewe na huyu asipewe!, vilio ndani ya chadema hazitaweza kukoma kwa nafsi za upendeleo uliopo!,
Mbowe kaa pembeni, akina Msigwa nao waendeshe chama kabla hakijapasuka!
 

Attachments

  • IMG_20240518_124130_432.jpg
    IMG_20240518_124130_432.jpg
    102.8 KB · Views: 2
Kwa jinsi nilivyotonywa na paparazzi maalumu ambaye yu ndani ya chadema na ni mwanachama wao kinda kinda ki, wapo wanaopewa kipaumbele cha kifedha ili kujenga mahekalu yao na familia zao, kibaya zaidi wapo waliowekwa pembeni na hawaruhusiwi kuhoji lolote, suala hili linaleta shida na tabu kubwa miongoni mwa viongozi wa safu ya juu ya kiutendaji ya chama hicho!,
Hekima, mizunguko ya kufaidishana iipitie safu yote ya Uongozi na si kubaguana, yule apewe na huyu asipewe!, vilio ndani ya chadema hazitaweza kukoma kwa nafsi za upendeleo uliopo!,
Mbowe kaa pembeni, akina Msigwa nao waendeshe chama kabla hakijapasuka!
Maneno maneno yanaletwa na genge la CCM lililopenyeza watu wake ndani ya chama
 
Kwa jinsi nilivyotonywa na paparazzi maalumu ambaye yu ndani ya chadema na ni mwanachama wao kinda kinda ki, wapo wanaopewa kipaumbele cha kifedha ili kujenga mahekalu yao na familia zao, kibaya zaidi wapo waliowekwa pembeni na hawaruhusiwi kuhoji lolote, suala hili linaleta shida na tabu kubwa miongoni mwa viongozi wa safu ya juu ya kiutendaji ya chama hicho!,
Hekima, mizunguko ya kufaidishana iipitie safu yote ya Uongozi na si kubaguana, yule apewe na huyu asipewe!, vilio ndani ya chadema hazitaweza kukoma kwa nafsi za upendeleo uliopo!,
Mbowe kaa pembeni, akina Msigwa nao waendeshe chama kabla hakijapasuka!
Hakuna mvurugano CCM ni watu hovyo kabisa wengi waswahili wa pwani.
 
Kwa jinsi nilivyotonywa na paparazzi maalumu ambaye yu ndani ya chadema na ni mwanachama wao kinda kinda ki, wapo wanaopewa kipaumbele cha kifedha ili kujenga mahekalu yao na familia zao, kibaya zaidi wapo waliowekwa pembeni na hawaruhusiwi kuhoji lolote, suala hili linaleta shida na tabu kubwa miongoni mwa viongozi wa safu ya juu ya kiutendaji ya chama hicho!,
Hekima, mizunguko ya kufaidishana iipitie safu yote ya Uongozi na si kubaguana, yule apewe na huyu asipewe!, vilio ndani ya chadema hazitaweza kukoma kwa nafsi za upendeleo uliopo!,
Mbowe kaa pembeni, akina Msigwa nao waendeshe chama kabla hakijapasuka!
Habari za kutonywa siku zote ni za umbeya, leta habari sahihi toka ukumbini.
 
Kwa jinsi nilivyotonywa na paparazzi maalumu ambaye yu ndani ya chadema na ni mwanachama wao kinda kinda ki, wapo wanaopewa kipaumbele cha kifedha ili kujenga mahekalu yao na familia zao, kibaya zaidi wapo waliowekwa pembeni na hawaruhusiwi kuhoji lolote, suala hili linaleta shida na tabu kubwa miongoni mwa viongozi wa safu ya juu ya kiutendaji ya chama hicho!,
Hekima, mizunguko ya kufaidishana iipitie safu yote ya Uongozi na si kubaguana, yule apewe na huyu asipewe!, vilio ndani ya chadema hazitaweza kukoma kwa nafsi za upendeleo uliopo!,
Mbowe kaa pembeni, akina Msigwa nao waendeshe chama kabla hakijapasuka!
Mafisi mnahangaika sana kwa kupiga ramli chonganishi
 
Kwa jinsi nilivyotonywa na paparazzi maalumu ambaye yu ndani ya chadema na ni mwanachama wao kinda kinda ki, wapo wanaopewa kipaumbele cha kifedha ili kujenga mahekalu yao na familia zao, kibaya zaidi wapo waliowekwa pembeni na hawaruhusiwi kuhoji lolote, suala hili linaleta shida na tabu kubwa miongoni mwa viongozi wa safu ya juu ya kiutendaji ya chama hicho!,
Hekima, mizunguko ya kufaidishana iipitie safu yote ya Uongozi na si kubaguana, yule apewe na huyu asipewe!, vilio ndani ya chadema hazitaweza kukoma kwa nafsi za upendeleo uliopo!,
Mbowe kaa pembeni, akina Msigwa nao waendeshe chama kabla hakijapasuka!
Hiyo hali Iko hapa nchini pia, Kuna walio Bora na wasio Bora. Kama mpaka wenza wa wastaafu wanalipwa, hapo unategemea Nini?
 
Hiyo hali Iko hapa nchini pia, Kuna walio Bora na wasio Bora. Kama mpaka wenza wa wastaafu wanalipwa, hapo unategemea Nini?
Off course yes, lakini kwa chama ambacho ndicho kingekuja kusahihisha haya yote hakikupaswa kuwa na dosari za ulafi uliopindukia maana, sasa wanatuonyesha u-mbadala wa namna na aina gani kama chama ambacho ndicho labda kinajitanabai kuwa mbadala?
 
Back
Top Bottom