Ndani ya CCM mambo si shwari

Ndani ya CCM mambo si shwari

Ohhh maji yameshakorogeka.
Nilipo msikia anamwambia Prince kumpeleka mafunzo ya uongozi (akimaanisha hana sifa ya uongozi) nilishaona Dr Nshomile anayo agenda nyingine.
Ukiona kiongozi wa ccm anamvua chupi Makonda ujue kesha jiandaa kukabiliana na Jiwe kwa namna nyingine hapo anachokoza tuu.
2020 utakuwa mwaka mgumu sana ndani ya ccm zaidi ya 2015 ambapo ilibidi mtu asukumiziwe tuu madaraka.
 
Nilipo msikia anamwambia Prince kumpeleka mafunzo ya uongozi (akimaanisha hana sifa ya uongozi) nilishaona Dr Nshomile anayo agenda nyingine.
Ukiona kiongozi wa ccm anamvua chupi Makonda ujue kesha jiandaa kukabiliana na Jiwe kwa namna nyingine hapo anachokoza tuu.
2020 utakuwa mwaka mgumu sana ndani ya ccm zaidi ya 2015 ambapo ilibidi mtu asukumiziwe tuu madaraka.
Kama wagombea ni Jiwe na Bashiru, kura yako unampigia nani?
 
WEWE uliteuliwa na kisha kupitishwa na Kamati Kuu kuwa Katibu Mkuu wa chama pamoja na kwamba hukuwa na sifa.

Umeonja utamu wa madaraka, umenogewa kama ngono inavyomnogea mfungwa aliyeachiwa huru.

Sasa unamsaliti bosi wako. Unazunguka nchini nzima kuwashawishi wajumbe wa NEC huku ukimnanga bosi wako na kudai 2020 ni wewe unafaa kukiwakilisha chama kugombea Urais.

Huu ni ushirikina wa hali ya juu. Kwamba sasa hata "slow slow" hamuongei. Inasikitisha sana! Let's watch the movie on the huge screen mounted on the wall.

#AchaWoga2020
#NiguseNinuke
Wewe Sky Eclat nani huyo tukinukishe
 
WEWE uliteuliwa na kisha kupitishwa na Kamati Kuu kuwa Katibu Mkuu wa chama pamoja na kwamba hukuwa na sifa.

Umeonja utamu wa madaraka, umenogewa kama ngono inavyomnogea mfungwa aliyeachiwa huru.

Sasa unamsaliti bosi wako. Unazunguka nchini nzima kuwashawishi wajumbe wa NEC huku ukimnanga bosi wako na kudai 2020 ni wewe unafaa kukiwakilisha chama kugombea Urais.

Huu ni ushirikina wa hali ya juu. Kwamba sasa hata "slow slow" hamuongei. Inasikitisha sana! Let's watch the movie on the huge screen mounted on the wall.

#AchaWoga2020
#NiguseNinuke
Professional Nurse Sky Eclat hizi tetesi, fununu au ndio habari iliyopo mjini kama kweli basi sauti inatosha usiongeze VOLUME
 
Ijue Nguvu ya jasusi Membe! Hili hapa mtalielewa hapo baadaye tu! Jiwe mwache ajidanganye na akina Lowasa na Rostam! Membe ni habari nyingine kwasasa.
Simkubali Kabisa Membe ila bora amtie Changamoto Jiwe. Na Jiwe amalize Kubadilisha TISS Kisa Membe.
 
naomba msaada kufahamishwa katibu mkuu wa hiki chama ni nani?
 
WEWE uliteuliwa na kisha kupitishwa na Kamati Kuu kuwa Katibu Mkuu wa chama pamoja na kwamba hukuwa na sifa.

Umeonja utamu wa madaraka, umenogewa kama ngono inavyomnogea mfungwa aliyeachiwa huru.

Sasa unamsaliti bosi wako. Unazunguka nchini nzima kuwashawishi wajumbe wa NEC huku ukimnanga bosi wako na kudai 2020 ni wewe unafaa kukiwakilisha chama kugombea Urais.

Huu ni ushirikina wa hali ya juu. Kwamba sasa hata "slow slow" hamuongei. Inasikitisha sana! Let's watch the movie on the huge screen mounted on the wall.

#AchaWoga2020
#NiguseNinuke

Sky Eclat kuna mtu amekwapua akaunti yako ya jamii forum
 
WEWE uliteuliwa na kisha kupitishwa na Kamati Kuu kuwa Katibu Mkuu wa chama pamoja na kwamba hukuwa na sifa.

Umeonja utamu wa madaraka, umenogewa kama ngono inavyomnogea mfungwa aliyeachiwa huru.

Sasa unamsaliti bosi wako. Unazunguka nchini nzima kuwashawishi wajumbe wa NEC huku ukimnanga bosi wako na kudai 2020 ni wewe unafaa kukiwakilisha chama kugombea Urais.

Huu ni ushirikina wa hali ya juu. Kwamba sasa hata "slow slow" hamuongei. Inasikitisha sana! Let's watch the movie on the huge screen mounted on the wall.

#AchaWoga2020
#NiguseNinuke
Unajaribu kujihami kwa kuanziasha propaganda za kijinga baada ya kuona uchaguzi wa Chadema umeanza kukigawa Chama?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom