status quo
Member
- May 6, 2011
- 87
- 38
jana katika kipindi cha dakika 45 katika tellevision ya ITV, nilimsikia Waziri wa mambo ya ndani mhe vuai naodha akizungumzia maandamano ya wanafunzi wa university of dar es salaam na kutetea nguvu kubwa ya polisi iliyotumika kuwasambalatisha na akatolea mfano wa jambo linaloendelea america yaaani occupy wall street protests, huu ni upotoshaji wa hali ya juu kutoka kwa kiongozi mkubwa wa nchi na hii inaonyesha jinsi viongozi wa nchi walivyo na uelewa finyu kuliko hata wananchi wao. maandamano ya UDSM ni tofauti kabisa na maandamano ya occupy wall street kwa sababu zifuatazo:
- The ocuppy wall street protests are against social and economic inequality, high unemployment, greed, as well as corruption, and the undue influence of corporations,particularly that of the financial services sector on government.while UDSM protests is about loans.
- second, waziri ameshindwa kutofautisha mfumo walionao US na wa kwetu TZ, marekani ni federal republic hapa ni kwamba kunakuwa na majimbo "states governments" na federal government, na kila kiongozi wa kisiasa marekani nanachaguliwa na wananchi kuanzia meya, district attorney,governor,etc hiyvo kule marekani serikali yaani federal government haimiliki jeshi la polisi, mfano pale ney york juzi kulitokea clashes kati ya protesters na polisi NYPD, ambao wako chini ya mayor michael bloomberg wa ney york anayetoka chama cha republican, ambao ndio hasa walengwa wa maandamano hayo, aliwaagiza polisi kuwaamisha protesters na sio kuwa tawanya kwa nguvu kubwa kama aliyo tumia naodha na polisi wake pale UDsm.
- tatu, kikatiba marekani maandamano ni haki ya msingi ambayo polisi, mahakama, bunge au serikali hairuhusiwi na ni mwiko kuipoka kwa wananchi kama ambavyo inapatikana katika 1st ammendment ya katiba yao and i quote "Congress shall make no law respecting an establishment of religion, or prohibiting the free exercise thereof; or abridging the freedom of speech, or of the press; or the right of the people peaceably to assemble, and to petition the Government for a redress of grievances." hivyo huu ni upotoshashi mkubwa uliofanywa na waziri .
- na mwisho napenda kushauri mawaziri waache kupotosha umma wa watanzania, ngeleja alituambia mgao utakuwa historia lakini hadi leo wapi, magufuli akaja na flyovers wakati hata za chini bado, kombani akaja na katiba mpya kumbe ni yale yale haya yote ni evidence tosha kwamba jamaa hawatufai, we need to CHANGE.