Baba Swalehe
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 20,220
- 39,851
Pole pole kawa mpole sana siku hizi !
What's this?WEWE uliteuliwa na kisha kupitishwa na Kamati Kuu kuwa Katibu Mkuu wa chama pamoja na kwamba hukuwa na sifa.
Umeonja utamu wa madaraka, umenogewa kama ngono inavyomnogea mfungwa aliyeachiwa huru.
Sasa unamsaliti bosi wako. Unazunguka nchini nzima kuwashawishi wajumbe wa NEC huku ukimnanga bosi wako na kudai 2020 ni wewe unafaa kukiwakilisha chama kugombea Urais.
Huu ni ushirikina wa hali ya juu. Kwamba sasa hata "slow slow" hamuongei. Inasikitisha sana! Let's watch the movie on the huge screen mounted on the wall.
#AchaWoga2020
#NiguseNinuke
Kama wagombea ni Jiwe na Bashiru, kura yako unampigia nani?
Anamvua chupi ili amfanye nini mkuu?Nilipo msikia anamwambia Prince kumpeleka mafunzo ya uongozi (akimaanisha hana sifa ya uongozi) nilishaona Dr Nshomile anayo agenda nyingine.
Ukiona kiongozi wa ccm anamvua chupi Makonda ujue kesha jiandaa kukabiliana na Jiwe kwa namna nyingine hapo anachokoza tuu.
2020 utakuwa mwaka mgumu sana ndani ya ccm zaidi ya 2015 ambapo ilibidi mtu asukumiziwe tuu madaraka.
Unajaribu kujihami kwa kuanziasha propaganda za kijinga baada ya kuona uchaguzi wa Chadema umeanza kukigawa Chama?
Ana haki ya kusema atakacho lakini hana haki ya kuzusha uongo juu ya watu wengine!Ana haki ya kusema atakacho, kwani kama cdm inagawanyika huu uzi ndio utazuia?
Ana haki ya kusema atakacho lakini hana haki ya kuzusha uongo juu ya watu wengine!
Utukufu wa Mungu ni wa ajabu sana !WEWE uliteuliwa na kisha kupitishwa na Kamati Kuu kuwa Katibu Mkuu wa chama pamoja na kwamba hukuwa na sifa.
Umeonja utamu wa madaraka, umenogewa kama ngono inavyomnogea mfungwa aliyeachiwa huru.
Sasa unamsaliti bosi wako. Unazunguka nchini nzima kuwashawishi wajumbe wa NEC huku ukimnanga bosi wako na kudai 2020 ni wewe unafaa kukiwakilisha chama kugombea Urais.
Huu ni ushirikina wa hali ya juu. Kwamba sasa hata "slow slow" hamuongei. Inasikitisha sana! Let's watch the movie on the huge screen mounted on the wall.
#AchaWoga2020
#NiguseNinuke
Wanaccm makini wameelewa , sasa wewe kinyago cha mpapule , unayetumikishwa kwa ujira wa chips kavu ndio hujui kinachoendeleaAna haki ya kusema atakacho lakini hana haki ya kuzusha uongo juu ya watu wengine!