Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 58,636
- 220,350
WEWE uliteuliwa na kisha kupitishwa na Kamati Kuu kuwa Katibu Mkuu wa chama pamoja na kwamba hukuwa na sifa.
Umeonja utamu wa madaraka, umenogewa kama ngono inavyomnogea mfungwa aliyeachiwa huru.
Sasa unamsaliti bosi wako. Unazunguka nchini nzima kuwashawishi wajumbe wa NEC huku ukimnanga bosi wako na kudai 2020 ni wewe unafaa kukiwakilisha chama kugombea Urais.
Huu ni ushirikina wa hali ya juu. Kwamba sasa hata "slow slow" hamuongei. Inasikitisha sana! Let's watch the movie on the huge screen mounted on the wall.
#AchaWoga2020
#NiguseNinuke
Umeonja utamu wa madaraka, umenogewa kama ngono inavyomnogea mfungwa aliyeachiwa huru.
Sasa unamsaliti bosi wako. Unazunguka nchini nzima kuwashawishi wajumbe wa NEC huku ukimnanga bosi wako na kudai 2020 ni wewe unafaa kukiwakilisha chama kugombea Urais.
Huu ni ushirikina wa hali ya juu. Kwamba sasa hata "slow slow" hamuongei. Inasikitisha sana! Let's watch the movie on the huge screen mounted on the wall.
#AchaWoga2020
#NiguseNinuke