Ndani ya Belgium....................... .....

Ndani ya Belgium....................... .....

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2009
Posts
43,047
Reaction score
34,778
37315_103853529666167_5331844_n.jpg
 
Hivi kwa mfano hapo ndani ya ndege kupiga picha bila kuomba ridhaa kwa watu ambao wamejitokeza kwenye picha ni ustaarabu?

Mi huwa nakerwa sana na watu wanaopiga picha halafu baadaye unashangaa na wewe upo
 
Hakuitegemea hii safari!. Anaonekana yuko frustrated, desperate na visasi fulani hivi. Sioni lolote kwenye picha zaidi ya ushamba na kutakae. watu waone. Hata hao watu kwenye ndege aliokaribu naye wameshaliona jamaa halina ustaarabu na dniyo maana ukitazama, wamekunja uso!.

Jamaa shamba na halina ustaarabu wowote!.

wewe vipi mdogo wangu leo amegeuka mshamba? Unamuonea wivu nini mkuu Tabby Mkongo huyo yupo ndani Ya Ulaya.............
 
Hivi kwa mfano hapo ndani ya ndege kupiga picha bila kuomba ridhaa kwa watu ambao wamejitokeza kwenye picha ni ustaarabu?

Mi huwa nakerwa sana na watu wanaopiga picha halafu baadaye unashangaa na wewe upo

Hahahaha mkwe wangu yaani me pia sipendi tabia hiyo tupo sare sare.....nimekumis sana mkwe
 
Napita taratibu tukisema kila mtu aweke zake alipofika sehemu mbalimbali Duniani hapatatosha humu.
 
Heri yako uliefika ulaya ni kumbukumbu isiyokuwa na ubishi..
 
Back
Top Bottom