Ndani ya Belgium....................... .....

Ndani ya Belgium....................... .....

Ushamba siyo kwenda Ubeligiji wala kupiga picha. Ninauona usoni kwake katika picha zote, kuanzia alipokuwa kwenye ndege. Angalia anajaribu kujenga confidence kwa kutoa liulimi nje!. Huy jamaa kazi kweli. Fulu frasitureshens.. Nadhani pia safari yake ilikuwa na vikwazo sana na hivyo hadi kuvikiuka na kufanikisha hajaamini na anataka waliokuwa wanamkwamisha waone!.

Uso unasema mengi kuliko captions!.


mmmmh jamani ushamba wake kwenda Belgium ha ha ha picha memories ila angetunza nyumban kwake.
 
Sio mimi huyo Mdogo wangu .

asa mbona unamchoresha dogo,picha kwenye ndege,au daladala za london,bora uweke picha za kwenye mapare,au maclub unakula bata,hizi ulizoweka mkuu naona kama zina reflect something idont know yet,but poa tu yote maisha watu tunatoka mbali u know !!
 
asa mbona unamchoresha dogo,picha kwenye ndege,au daladala za london,bora uweke picha za kwenye mapare,au maclub unakula bata,hizi ulizoweka mkuu naona kama zina reflect something idont know yet,but poa tu yote maisha watu tunatoka mbali u know !!
Huyo ni sheikh sio mtu wa kwenda Disko Mkuu minuz
 
Last edited by a moderator:
asa mbona unamchoresha dogo,picha kwenye ndege,au daladala za london,bora uweke picha za kwenye mapare,au maclub unakula bata,hizi ulizoweka mkuu naona kama zina reflect something idont know yet,but poa tu yote maisha watu tunatoka mbali u know !!
10520711_774126575972189_1709135471462349279_n.jpg
 
Utakavyofikiria wewe ninakuacha kama ulivyo......


haya mkuu basi sio wewe..... ..
ila hata wazungu wakija bongo huwa wanapenda sana kupiga pics so sio mbaya sana ala ubaya unakuja unapo-post picha uliyo-appear na watu wengine tena bila ridhaa yao.. may be siku wakiiona hawatapenda
 
Back
Top Bottom