optico JF-Expert Member Joined Jul 4, 2016 Posts 267 Reaction score 309 Aug 12, 2016 #41 ahaa , nlifikiri udsm kidogo nishangae
Keyboard_Warrior JF-Expert Member Joined Oct 10, 2015 Posts 6,108 Reaction score 10,480 Aug 12, 2016 #42 optico said: ahaa , nlifikiri udsm kidogo nishangae Click to expand... Inaonekana UDSM ndio chuo kilicho kichwani mwako..!
optico said: ahaa , nlifikiri udsm kidogo nishangae Click to expand... Inaonekana UDSM ndio chuo kilicho kichwani mwako..!
optico JF-Expert Member Joined Jul 4, 2016 Posts 267 Reaction score 309 Aug 12, 2016 #43 George Betram said: Inaonekana UDSM ndio chuo kilicho kichwani mwako..! Click to expand... Ni kweli, sema course niliyotaka haikuwepo hapo (Bpharm)
George Betram said: Inaonekana UDSM ndio chuo kilicho kichwani mwako..! Click to expand... Ni kweli, sema course niliyotaka haikuwepo hapo (Bpharm)
Blank page JF-Expert Member Joined May 28, 2015 Posts 6,084 Reaction score 6,089 Aug 13, 2016 #44 PTER said: Uwe unahariri kwanza maandishi yako kabla hujatuma mkuu, hapa unamdharirisha mwalimu wako wa lugha na wahadhiri wa chuo chako Click to expand... makosa tu ya kawaida kwani unafikiri naandikia peni kwenye karatasi bhana.ila nimekuelewa
PTER said: Uwe unahariri kwanza maandishi yako kabla hujatuma mkuu, hapa unamdharirisha mwalimu wako wa lugha na wahadhiri wa chuo chako Click to expand... makosa tu ya kawaida kwani unafikiri naandikia peni kwenye karatasi bhana.ila nimekuelewa
Innocentinno JF-Expert Member Joined Feb 9, 2013 Posts 354 Reaction score 312 Aug 16, 2016 #46 Kiukweli wanatuzingua sana chuoni maana pesa imeshafika bado wanaona ugumu kututumia kwenye A/C's zetu,tatizo sijui nini wanaboa tena sana.
Kiukweli wanatuzingua sana chuoni maana pesa imeshafika bado wanaona ugumu kututumia kwenye A/C's zetu,tatizo sijui nini wanaboa tena sana.
Samir7900000 Member Joined Jul 26, 2016 Posts 52 Reaction score 26 Aug 16, 2016 Thread starter #47 Innocentinno said: Kiukweli wanatuzingua sana chuoni maana pesa imeshafika bado wanaona ugumu kututumia kwenye A/C's zetu,tatizo sijui nini wanaboa tena sana. Click to expand... Tukigoma huku na wenyewe kujua may be itasaidia ela kusekwa, hivihivi hamna kitu
Innocentinno said: Kiukweli wanatuzingua sana chuoni maana pesa imeshafika bado wanaona ugumu kututumia kwenye A/C's zetu,tatizo sijui nini wanaboa tena sana. Click to expand... Tukigoma huku na wenyewe kujua may be itasaidia ela kusekwa, hivihivi hamna kitu
Kibundi wa getto JF-Expert Member Joined Sep 28, 2013 Posts 455 Reaction score 878 Aug 16, 2016 #48 Hivi vyuo vingine shida sana, yani hizi ela zinawauma kama wanatoa wao