dah kwa style ya uongozi wa awamu ya tano tuna shida kweli ndugu zanguni,maana vitu vilivyokuwa vinatajiwa vipewe kipaumbele kama mamb ya elimu ya juu na mikopo yani ndo hata rais haviongelew kabisa na wakat katka kamlen ndo zilikuwa sera kuu na mambo muhimu
tutakufa njaa ase wanafunzi