Chikwangara
JF-Expert Member
- Feb 23, 2012
- 685
- 939
Mpaka sasa, wanafunzi wanufaika wa mkopo hawsjapewa fedha zao za kujikimu, mbaya zaidi vyuo vingine kama UDSM, DUCE, ARDHI wameshapewa
inakuaje asitishe malipo yao kabla wanafunzi wa UDOM hawajapewa stahiki zao?
Au kwa kuwa mshaona wao ni VILAZA kama mnavyo dai!
Mtaani wanaendelea kudhalilika, wengine wamesafiri umbali mrefu wakitegemea mtawapa stahiki zao kwa wakati, matokeo yake wana zunguka tu mitaani wengine watoto wetu hasa wa kike wana nyanyaswa kijinsia.
Hebu mheshimiwa jitahidi kuwa 'fea' hao wote ni wanafunzi kama walivyo wa UDSM na ARDHI, kwanini muwabague?
Magician
inakuaje asitishe malipo yao kabla wanafunzi wa UDOM hawajapewa stahiki zao?
Au kwa kuwa mshaona wao ni VILAZA kama mnavyo dai!
Mtaani wanaendelea kudhalilika, wengine wamesafiri umbali mrefu wakitegemea mtawapa stahiki zao kwa wakati, matokeo yake wana zunguka tu mitaani wengine watoto wetu hasa wa kike wana nyanyaswa kijinsia.
Hebu mheshimiwa jitahidi kuwa 'fea' hao wote ni wanafunzi kama walivyo wa UDSM na ARDHI, kwanini muwabague?
Magician