Ndalichako awa Profesa

Anaweza kweli kukawa na hitlafu katika utendaji wake alipokuwa NECTA, lakini ni upuuzi kumtoa kwa sababu ya malalamiko yaliyoegemea katika udini.

I know Ndalichako, ni mchapakazi. Hongera Joyce.

wasiosoma wanaona anaonea dini yao, waliosoma wa dini hiyo hiyo wanamuona kichwa wanamkabidhi chuo cha kiislamu Aga khan.
 
Duuh vyuo vya kata vingi aisee,,,Aga Khan university ndio chuo gani tena hicho na kipo wapi kwa wahindi kule au???
 
Hongera Ndalichako tangu umeondoka had I wasiojua kusoma wanapata division two!
 
Leo ndo kawa jembe?
Toka long time ago. Mimi ni mwalimu wangu na nimeshafanya kazi chini yake. Mama anachapa kazi we acha tu sema nchi hii wachapa kazi wanaoonesha kuhatarisha nafasi za wanasiasa huwa hawadumu katika nafasi zao za kiutendaji unless uwe upande wao. Wakisema goli lipanueliwe ili watoto wafunge magoli mengi wewe ukisema hewala utaongezewa na cheo lakini ukileta mambo ya kiutalamu na usomi wako watakufratrate tu. Si umeona wale waliokuwa kwenye tume walipopendekeza kupanua magoli na yakawafurahisha wakubwa wakapandishwa vyeo. Si unaona Warioba anavyosakamwa kwasababu hakuleta kazi ya longo longo. Yeye kaleta kazi ya kitaalamu na kisomi lakini wanasiasa manunga yembe wamemgeuza mpira wa kona. Mwakyembe alitumwa kazi ya kitaalamu akaja akaficha ukweli mkuu lakini alipoanza kupiga piga kelele kutaka kuutoa ukweli mkuu kuhusu Richmond yakampata yaliyompata. Akajidai atasema wazi. Alipoona hatari inayomkabili akaamua kuufyata! Baada ya kuufyata akaanza kubebeshwa mavyeo yeye na wenzake waliokubali kushona midomo. Walimpa kwanza unaibu baadaye walipoona anabehave wakampa wizara kabisa. Anaendelea kupiga makelele ya kiutendaji lakini dhamiri yake inamtesa. Yule mama anayejiita injinia waliyekuwa pamoja akaukwaa ubunge wa maalumu kana kwamba haitoshi akaongezewa na ukuu wa mkoa! Chezea Danganyika wewe! Ndalichako hana ujinga huo kaona bora aende kupiga chaki kuliko kudhalilisha taaluma yake
 
Huyu mama ni kichwa sana,sema siasa za majitaka zimemuondoa katika wadhifa wake wa awali
 
Go go go Sky is the limit, dreams never lie!!!
 
safi sana hongera mama hakika hili ni jembe hongera prof. ndalichako
 
Congrats prof. Ndali.. Kwenye educational measurement and evaluation namkubali sana mama huyu Anaitwa Prof. Njabili.. Ni kichwa kingine adimu kabisa.
 
Magamba yangu yamepitia kwenye mikono ya huyu Professor
 
Bado ana kazi ya kufanya awe prof kamili. Na pengne huo uwaziri ukamchelewesha kuwa prof kamili inatakiwa awe bize na matafiti mbalimbali huko. Ila ni hatua nzuri sana aliyofikia.
 
Nadhani muda wa pongezi unatosha sasa let's give her inputs as much as we can and also give her time to prove to us her capabilities and credibility as minister.
 
Anaweza kweli kukawa na hitlafu katika utendaji wake alipokuwa NECTA, lakini ni upuuzi kumtoa kwa sababu ya malalamiko yaliyoegemea katika udini.

I know Ndalichako, ni mchapakazi. Hongera Joyce.
Ni mdini kupindukia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…