Nchimbi na Mwema Wang'oke... hata Vuai?

Nchimbi na Mwema Wang'oke... hata Vuai?

Swala la Kung'oka hiyo ni ndoto na ukisahau Itakuwa Imekusaidia sana; Badala yake Ungesema IGP na Waziri Waunde Tume ili Kujua Ukweli; Pole sana Maana hata Haujui Serikali ya CCM; Issue ya Mtwara na Uvunjifu wa Haki za Binadamu ni Good job kwa Serikali Sikivu. Yule Mama Mwingereza Mwezi Kipindi cha February/ March alipata kuandika hivi " Serikali ya Tanzania ni sawa na Majambazi yanayotoa Malekezo kwa Majizi ili waende Kuwakamata Vibaka". Maana ya Makala ile ilikuwa ni kwamba Mfumo Mzima wa kiuongozi Umeoza na Kuparalise. Hakuna sehemu ya Kusema ni afadhali, IThe all system is rotten, Ni kweli mama yule alisema Ukweli japo Tuliumia kwani ni hakika kabisa kwamba kwa sasa ya leo ni afadhali kuliko ya Jana... Kwa khali ilivyo sasa, hakuna aliye na uhakika wa Kesho. Vyombo Vya dola Vimekuwa Juu ya Sheria na Mahakama zetu Zimebakia Majengo tu Haki Imeyeyuka kabisa na Dhuruma Imetamalaki. " Wanyonge Tumekwisha".
 
Ukitaka kujua jeshi la polisi lina weledi kiasi gani angalai linavyofanya kazi wakati wa vurugu, dharura, au pale ambapo mmojawao anaumizwa. Mambo ambayo yanadaiwa kufanywa na Jeshi la Polisi na wale wa JWTZ dhidi ya wananchi ni mambo yanayoita watu kuwajibishwa.

Kwamba kuna nyumba zimechomwa na polisi wametoa adhabu ya jumla (collective punishment) wakiingia kwenye majumba ya watu na kusababisha hali ya hofu kwa wananchi badala ya kuonesha weledi na amani toka mwanzo - kwani jambo hili lilijulikana kabla!

Tumeshasema mara nyingi huko nyuma wengine wanaobebwa hawabebeki... Wasije kudhania kuwa kulazimisha amani kwa nguvu namna hii kunawafanya watu wageuka na kuwapenda zaidi... wanachofanya wao wenyewe wanazidi kupandikiza chuki, sumu ya chuki inanyonywa na watoto katika matiti ya mama zao...

Binafsi sielewi kabisa kwanini Nchimbi ni Waziri! I have never understood kwanini ameendelea kuwa Waziri licha ya kuboronga wizara zote alizopitia.. kitu pekee alichowahi kuwa mzuri kwacho (kama naweza kusifikia) ni kuwa Katibu ya Umoja wa Vijana wa CCM... nje ya hapo sijui! KUhusu Mwema ndio wala sitaki ksuema maana nishasema vya kutosha... ingekuwa nchi nyingine angetimuliwa miaka minne nyuma... !

Vuai bado sijajua maana ningependa kusikia kauli yake ya kuhusika kwa JWTZ katika kadhia iliyotokea Mtwara.

Kama kweli wewe ni mzalendo jitokeze kwa jina lako halisi tukushughulikie msaliti wewe, watu wachache wanaoharibu mali za watu kwa kuzichoma moto hawavumiliki, hiyo ndio dawa yao, na wewe ukijitokeza tunakata mapembe
 
Sijaona kipya kwenye post yako mkuu,wewe unataka polisi wakae na kucheka na watu ambao ni waharifu hayo mawazo yako siyo varid pengine na wewe ni miongoni mwa hawa wachochezi kwa nini hujasema chochote juu wanasiasa waliochochea na wale wanaofanya hizo vurugu,acha mambo ya ajabu.
Bora uwe kmya kwa sababu unachokisema hakiruhusu polisi kuwafanyia unyama raia
 
Kama kweli wewe ni mzalendo jitokeze kwa jina lako halisi tukushughulikie msaliti wewe, watu wachache wanaoharibu mali za watu kwa kuzichoma moto hawavumiliki, hiyo ndio dawa yao, na wewe ukijitokeza tunakata mapembe
Njoo kwanza wewe na jina lako la sivyo huna kitu kichwani
 
masikini, na mama huyu ni mhalifu na mawazo yake sio valid!
Kweli kuna watu wenye ujasiri hapa Tz na ndio maana JK na wenzake hawa sasa wameamua kuileta gesi Dsm/Bgmyo si chini ya usimamizi wa polisi bali JWTZ. Mungu wanusuru Watanzania
Laana ya gesi
• Polisi wampiga risasi mjamzito, waiba vitu
source: Tanzania Daima
Sijaona kipya kwenye post yako mkuu,wewe unataka polisi wakae na kucheka na watu ambao ni waharifu hayo mawazo yako siyo varid pengine na wewe ni miongoni mwa hawa wachochezi kwa nini hujasema chochote juu wanasiasa waliochochea na wale wanaofanya hizo vurugu,acha mambo ya ajabu.
 
Hao jamaa hawawezi kujiuzulu maana wakiwajibika hata JK naye ana dual responsibility kwa wananchi na kwa matendo ya wateuliwa wake naye atatakiwa kuwajibika. Tanzania viongozi hawawezi kuwajibika kwa kuwa uongozi wao unaongozwa na mood ya mtu atakayokuwa nayo siku ya tukio, hatutumii weledi na kanuni na kiuongozi.
Nchimbi aliwahi kukejeli Watanzania kwamba akijiuzulu hatutapata tena kiongozi kama yeye. Haaaahaahaaa.
Hui ndo Tanzania bwana
 
Ukitaka kujua jeshi la polisi lina weledi kiasi gani angalai linavyofanya kazi wakati wa vurugu, dharura, au pale ambapo mmojawao anaumizwa. Mambo ambayo yanadaiwa kufanywa na Jeshi la Polisi na wale wa JWTZ dhidi ya wananchi ni mambo yanayoita watu kuwajibishwa.

Kwamba kuna nyumba zimechomwa na polisi wametoa adhabu ya jumla (collective punishment) wakiingia kwenye majumba ya watu na kusababisha hali ya hofu kwa wananchi badala ya kuonesha weledi na amani toka mwanzo - kwani jambo hili lilijulikana kabla!

Tumeshasema mara nyingi huko nyuma wengine wanaobebwa hawabebeki... Wasije kudhania kuwa kulazimisha amani kwa nguvu namna hii kunawafanya watu wageuka na kuwapenda zaidi... wanachofanya wao wenyewe wanazidi kupandikiza chuki, sumu ya chuki inanyonywa na watoto katika matiti ya mama zao...

Binafsi sielewi kabisa kwanini Nchimbi ni Waziri! I have never understood kwanini ameendelea kuwa Waziri licha ya kuboronga wizara zote alizopitia.. kitu pekee alichowahi kuwa mzuri kwacho (kama naweza kusifikia) ni kuwa Katibu ya Umoja wa Vijana wa CCM... nje ya hapo sijui! KUhusu Mwema ndio wala sitaki ksuema maana nishasema vya kutosha... ingekuwa nchi nyingine angetimuliwa miaka minne nyuma... !

Vuai bado sijajua maana ningependa kusikia kauli yake ya kuhusika kwa JWTZ katika kadhia iliyotokea Mtwara.

Ache unafiki, hawa watu wanafanya kazi hawapati usingizi kwa kuwaza usalama wa nchi, sasa embu angalia kuchoma moto nyumba, madaraja pamoja na miundombinu mbalimbali hayo ndio madai ya gesi? msiwadhorofishe katika utendaji wao wa kazi, Nchimbi , IGP mwema pigeni kazi tunawatengemea
 
sasa MMK, unataka kusema kwamba ulitaka kusema kwamba polis na jeshi wangekaa kimya??
 
Ukitaka kujua jeshi la polisi lina weledi kiasi gani angalai linavyofanya kazi wakati wa vurugu, dharura, au pale ambapo mmojawao anaumizwa. Mambo ambayo yanadaiwa kufanywa na Jeshi la Polisi na wale wa JWTZ dhidi ya wananchi ni mambo yanayoita watu kuwajibishwa.

Kwamba kuna nyumba zimechomwa na polisi wametoa adhabu ya jumla (collective punishment) wakiingia kwenye majumba ya watu na kusababisha hali ya hofu kwa wananchi badala ya kuonesha weledi na amani toka mwanzo - kwani jambo hili lilijulikana kabla!

Tumeshasema mara nyingi huko nyuma wengine wanaobebwa hawabebeki... Wasije kudhania kuwa kulazimisha amani kwa nguvu namna hii kunawafanya watu wageuka na kuwapenda zaidi... wanachofanya wao wenyewe wanazidi kupandikiza chuki, sumu ya chuki inanyonywa na watoto katika matiti ya mama zao...

Binafsi sielewi kabisa kwanini Nchimbi ni Waziri! I have never understood kwanini ameendelea kuwa Waziri licha ya kuboronga wizara zote alizopitia.. kitu pekee alichowahi kuwa mzuri kwacho (kama naweza kusifikia) ni kuwa Katibu ya Umoja wa Vijana wa CCM... nje ya hapo sijui! KUhusu Mwema ndio wala sitaki ksuema maana nishasema vya kutosha... ingekuwa nchi nyingine angetimuliwa miaka minne nyuma... !

Vuai bado sijajua maana ningependa kusikia kauli yake ya kuhusika kwa JWTZ katika kadhia iliyotokea Mtwara.

Hapo kwenye wekundu: Nakumbuka aliwahi kuwa mwenyekiti wa UVCCM, je napo hakufanya kitu?

Hapo kwenye blue: Kumbuka Jeshi halina Mhalifu ama mvunja amani, Jeshi huwa lina ADUI na nadhani mnajua adui haki yake ni nini!
 
sasa MMK, unataka kusema kwamba ulitaka kusema kwamba polis na jeshi wangekaa kimya??

Kwa hii kadhia ya Mtwara nadhani Polisi wamejitahidi sana kuwa wavumilivu hadi ikaonekana kama wameshindwa kitu ambacho si kweli.
 
Hivi kwa mtazamo wako kujiuzulu kwa hao uliowataja ndo suluhisho ya yanayotokea nchini?
 
Mi nadhani tusisubiri kushughulikia matokeo, tushughulike na kiini cha tatizo, je suala la gesi/raslimali za nchi utaratibu ukoje katika kuzitumia? Mikataba kwa nini wabunge hawapewi ili waelimishe wapiga kura wao pale mradi mkubwa wa uwekezaji unapofanyika katika maeneo yao?
Kilichotokea Mtwara ni ishara tu ya watu kupoteza imani na serikali katika kusimamia raslimali za nchi, kwahiyo haop hata kama wakijiuzulu bado tatizo lipo!
 
MMK kingine kikubwa alichofanya Nchimbi ni kuitwa Dr. kabla hajapresent dissertation ya Phd.Kwahiyo kujiuzulu huyu haiwezekani
 
Hapo kwenye wekundu: Nakumbuka aliwahi kuwa mwenyekiti wa UVCCM, je napo hakufanya kitu?

Hapo kwenye blue: Kumbuka Jeshi halina Mhalifu ama mvunja amani, Jeshi huwa lina ADUI na nadhani mnajua adui haki yake ni nini!
ADUI wa jeshi ni wa ndani ya nchi au nje ya nchi?
 
MMK kingine kikubwa alichofanya Nchimbi ni kuitwa Dr. kabla hajapresent dissertation ya Phd.Kwahiyo kujiuzulu huyu haiwezekani

linahusiana vp na tatizo la mtwara,dr linaweza likawa jina tu .mbona mnamuita slaa rais?
 
Back
Top Bottom