Nchimbi na Mwema Wang'oke... hata Vuai?

Nchimbi na Mwema Wang'oke... hata Vuai?

Mzee Mwanakijiji

Platinum Member
Joined
Mar 10, 2006
Posts
34,095
Reaction score
43,305
Ukitaka kujua jeshi la polisi lina weledi kiasi gani angalai linavyofanya kazi wakati wa vurugu, dharura, au pale ambapo mmojawao anaumizwa. Mambo ambayo yanadaiwa kufanywa na Jeshi la Polisi na wale wa JWTZ dhidi ya wananchi ni mambo yanayoita watu kuwajibishwa.

Kwamba kuna nyumba zimechomwa na polisi wametoa adhabu ya jumla (collective punishment) wakiingia kwenye majumba ya watu na kusababisha hali ya hofu kwa wananchi badala ya kuonesha weledi na amani toka mwanzo - kwani jambo hili lilijulikana kabla!

Tumeshasema mara nyingi huko nyuma wengine wanaobebwa hawabebeki... Wasije kudhania kuwa kulazimisha amani kwa nguvu namna hii kunawafanya watu wageuka na kuwapenda zaidi... wanachofanya wao wenyewe wanazidi kupandikiza chuki, sumu ya chuki inanyonywa na watoto katika matiti ya mama zao...

Binafsi sielewi kabisa kwanini Nchimbi ni Waziri! I have never understood kwanini ameendelea kuwa Waziri licha ya kuboronga wizara zote alizopitia.. kitu pekee alichowahi kuwa mzuri kwacho (kama naweza kusifikia) ni kuwa Katibu ya Umoja wa Vijana wa CCM... nje ya hapo sijui! KUhusu Mwema ndio wala sitaki ksuema maana nishasema vya kutosha... ingekuwa nchi nyingine angetimuliwa miaka minne nyuma... !

Vuai bado sijajua maana ningependa kusikia kauli yake ya kuhusika kwa JWTZ katika kadhia iliyotokea Mtwara.
 
Hao jamaa hawawezi kujiuzulu maana wakiwajibika hata JK naye ana dual responsibility kwa wananchi na kwa matendo ya wateuliwa wake naye atatakiwa kuwajibika. Tanzania viongozi hawawezi kuwajibika kwa kuwa uongozi wao unaongozwa na mood ya mtu atakayokuwa nayo siku ya tukio, hatutumii weledi na kanuni na kiuongozi.
 
Yani mnavyozungumzia kujiuzulu utafikiri ni utamaduni wa viongozi wetu kujiwajibisha wenyewe!
Kiongozi anapojua ameboronga kaui yake ya kwanza hata kabla hajaulizwa anajinadi kuwa 'Sijiuzulu'.
 
Ukitaka kujua jeshi la polisi lina weledi kiasi gani angalai linavyofanya kazi wakati wa vurugu, dharura, au pale ambapo mmojawao anaumizwa. Mambo ambayo yanadaiwa kufanywa na Jeshi la Polisi na wale wa JWTZ dhidi ya wananchi ni mambo yanayoita watu kuwajibishwa.

Kwamba kuna nyumba zimechomwa na polisi wametoa adhabu ya jumla (collective punishment) wakiingia kwenye majumba ya watu na kusababisha hali ya hofu kwa wananchi badala ya kuonesha weledi na amani toka mwanzo - kwani jambo hili lilijulikana kabla!

Tumeshasema mara nyingi huko nyuma wengine wanaobebwa hawabebeki... Wasije kudhania kuwa kulazimisha amani kwa nguvu namna hii kunawafanya watu wageuka na kuwapenda zaidi... wanachofanya wao wenyewe wanazidi kupandikiza chuki, sumu ya chuki inanyonywa na watoto katika matiti ya mama zao...

Binafsi sielewi kabisa kwanini Nchimbi ni Waziri! I have never understood kwanini ameendelea kuwa Waziri licha ya kuboronga wizara zote alizopitia.. kitu pekee alichowahi kuwa mzuri kwacho (kama naweza kusifikia) ni kuwa Katibu ya Umoja wa Vijana wa CCM... nje ya hapo sijui! KUhusu Mwema ndio wala sitaki ksuema maana nishasema vya kutosha... ingekuwa nchi nyingine angetimuliwa miaka minne nyuma... !

Vuai bado sijajua maana ningependa kusikia kauli yake ya kuhusika kwa JWTZ katika kadhia iliyotokea Mtwara.
Sijaona kipya kwenye post yako mkuu,wewe unataka polisi wakae na kucheka na watu ambao ni waharifu hayo mawazo yako siyo varid pengine na wewe ni miongoni mwa hawa wachochezi kwa nini hujasema chochote juu wanasiasa waliochochea na wale wanaofanya hizo vurugu,acha mambo ya ajabu.
 
Tuache kushabikia ujinga......vurugu za Mtwara wale ni wajinga wananch wenye Akili hawez kufanya mambo ya ajabu kama yale ni bora wangekufa Raia mia kuliko kupoteza Mwanajeshi wetu Mmoja.
 
Watanzania utu umewatoka wanafanya mambo ya ajabu kuchochea watu wafe halafu wanajificha nyuma na kuanza kuchekelea.
 
Kinachoendelea Mtwara ni uhalifu kwa wananchi na kibaya kuliko vyote wamebaki yatima bila utetezi wa nguvu sasa.
 
Jee mikataba ya gesi watanzania au wanamtwara walishirikishwa?NCHIMBI ni janga la taifa kwa sasa,tangu kawa waziri mambo ya ndani kila siku kumekua na matukio ya ajabu sana kuharibu usalama wa raia.
 
Ukitaka kujua jeshi la polisi lina weledi kiasi gani angalai linavyofanya kazi wakati wa vurugu, dharura, au pale ambapo mmojawao anaumizwa. Mambo ambayo yanadaiwa kufanywa na Jeshi la Polisi na wale wa JWTZ dhidi ya wananchi ni mambo yanayoita watu kuwajibishwa.

Kwamba kuna nyumba zimechomwa na polisi wametoa adhabu ya jumla (collective punishment) wakiingia kwenye majumba ya watu na kusababisha hali ya hofu kwa wananchi badala ya kuonesha weledi na amani toka mwanzo - kwani jambo hili lilijulikana kabla!

Tumeshasema mara nyingi huko nyuma wengine wanaobebwa hawabebeki... Wasije kudhania kuwa kulazimisha amani kwa nguvu namna hii kunawafanya watu wageuka na kuwapenda zaidi... wanachofanya wao wenyewe wanazidi kupandikiza chuki, sumu ya chuki inanyonywa na watoto katika matiti ya mama zao...

Binafsi sielewi kabisa kwanini Nchimbi ni Waziri! I have never understood kwanini ameendelea kuwa Waziri licha ya kuboronga wizara zote alizopitia.. kitu pekee alichowahi kuwa mzuri kwacho (kama naweza kusifikia) ni kuwa Katibu ya Umoja wa Vijana wa CCM... nje ya hapo sijui! KUhusu Mwema ndio wala sitaki ksuema maana nishasema vya kutosha... ingekuwa nchi nyingine angetimuliwa miaka minne nyuma... !

Vuai bado sijajua maana ningependa kusikia kauli yake ya kuhusika kwa JWTZ katika kadhia iliyotokea Mtwara.



Hata kama wananchi wa Mtwara wamefanya uhalifu,je, Polisi na JWTZ wanapata wapi kibali cha kuwasulubu wananchi?Serikali kwa kutokujua inatengeneza tatizo lingine kubwa zaidi.Ubabe siku zote hahusaidii.Hekima ina nguvu kuliko ubabe.
 
Mwema atang'okaje amuache shemeji yake jk anahangaika

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Hao jamaa hawawezi kujiuzulu maana wakiwajibika hata JK naye ana dual responsibility kwa wananchi na kwa matendo ya wateuliwa wake naye atatakiwa kuwajibika. Tanzania viongozi hawawezi kuwajibika kwa kuwa uongozi wao unaongozwa na mood ya mtu atakayokuwa nayo siku ya tukio, hatutumii weledi na kanuni na kiuongozi.

SASA KAMA HAWAWEZI KUJIUZuLU MTWARA WAMEKUJA KUFANYA NINI SI WANGEKAA HUKOHUKO BUNGENI...??????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????
 
Wewe ndo bado hujajitambua kabisa Wana-Mtwara wanajua wanachokifanya

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Tuache kushabikia ujinga......vurugu za mtwara wale ni wajinga wananch wenye Akili hawez kufanya mambo ya ajabu kama yale ni bora wangekufa Raia mia kuliko kupoteza Mwanajeshi wetu Mmoja.

It seems you are mentally imbalanced!!!!
 
Mwanakijiji wewe kaa kimya endelea na usaliti kwa nchi yako huko ulaya, ya ngoswe mwachie ngoswe mwenyewe
 
Unajipitishapitisha sana kwa kina Slaa na Mbowe ukidhani wakiingia madarakani utapewa ukuu wa wilaya, mada yako ni mambo ya kufikirika tu, ngoja wale virungu kwanza.....madaraja na miundombinu waliyoharibu watu wa Mtwara ilikuwa na kosa gani???
 
Suala siyo Nchimbi, Mwema na Nahodha kung'oka unamuachaje yule jamaa anafunga mustachi Othman Rashid?

Hebu jiulize hivi kweli Usalama wa Taifa upo kazini au nao umekaa kuiba mali za nchi na kununua magari na kujenga maghorofa ukihoji unaambiwa suala la Usalama wa Taifa haihojiwi. Utaacha kuhoji vipi wakati Usalama wa Taifa sasa ni uhasama wa taifa? Hebu soma hapa

1. Mtu mmoja au zaidi anaanza kuwa na wazo la kusambaza vipeperushi ili kuwashawishi wananchi wa Mtwara kufanya fujo
2. Mtu au watu hawawezi kufanya maamuzi peke yao, wanawashirikisha wenzao wazo la kuandaa maneno ya namna ya kuwachochea wananchi wa Mtwara wafanye fujo
3. Mtu au watu hao wanakaa chini wanaandika maneno ya kuwahamasisha wananchi wa Mtwara
4. Wanakwenda kuchapa kwenye kompyuta
5. Wanayasoma ili kuyahakiki kama ndivyo walivyotaka yawe
6. Wanarudufu ili kupata nakala za kutosha
7. Wanawaandaa baadhi ya watu ili kuweza kuyasambaza
8. Wanakwenda barabarani mchana kweupe wanasambaza na kutupa karatasi hizo kila eneo lenye watu au lisilo na watu
9. Au wanasambaza usiku

eti asubuhi Usalama wa Taifa ndiyo wanaona makaratasi hayo nao wanashangaa

hivi kweli Usalama wa Taifa wanalala? Wanapata usingizi?

Hivi kweli kuna haja ya kuwa na Usalama wa Taifa?

Tazama na ile move ya wale wanyama wetu kule Arusha waliokaa kwenye nyumba ya mwananchi kwa wiki 3 kisha wakasafirishwa kwa ndege ya kivita kwenye Uarabuni. Usalama wa Taifa walikuwepo?

Nasema ni vema Usalama wa Taifa ukafutwa

hivi sasa Usalama wa Taifa watu hawaajiriwi kwa umahiri wao na uwezo wao wa akili bali wanaajiriwa kama wafanyakazi wa mashamba ya mkonge. Maana kwenye mashamba ya mkonge ukizaliwa na baba ambaye ni mkata mkonge basi na wewe moja kwa moja ni mkata mkonge. Na ndivyo ulivyo Usalama wa Taifa wa sasa. Ukizaliwa na baba au mama ambaye ni Usalama wa Taifa basi na wewe moja kwa moja ni Usalama wa Taifa.

Tazama wale wanaomlinda JK utawahurumia. Hawana uwezo wowote. Hawana uwezo wa akili, hawana uwezo wa kutafakari, hawana uwezo wa kuzuwia madhara, hawana uwezo wa kupigana litapotokea jambo.

Kazi yao kugombea posho kwenye misafara ya rais na viongozi wengine.

Poor TISS you have to go to hell and burn
 
Ukitaka kujua jeshi la polisi lina weledi kiasi gani angalai linavyofanya kazi wakati wa vurugu, dharura, au pale ambapo mmojawao anaumizwa. Mambo ambayo yanadaiwa kufanywa na Jeshi la Polisi na wale wa JWTZ dhidi ya wananchi ni mambo yanayoita watu kuwajibishwa.

Kwamba kuna nyumba zimechomwa na polisi wametoa adhabu ya jumla (collective punishment) wakiingia kwenye majumba ya watu na kusababisha hali ya hofu kwa wananchi badala ya kuonesha weledi na amani toka mwanzo - kwani jambo hili lilijulikana kabla!

Tumeshasema mara nyingi huko nyuma wengine wanaobebwa hawabebeki... Wasije kudhania kuwa kulazimisha amani kwa nguvu namna hii kunawafanya watu wageuka na kuwapenda zaidi... wanachofanya wao wenyewe wanazidi kupandikiza chuki, sumu ya chuki inanyonywa na watoto katika matiti ya mama zao...

Binafsi sielewi kabisa kwanini Nchimbi ni Waziri! I have never understood kwanini ameendelea kuwa Waziri licha ya kuboronga wizara zote alizopitia.. kitu pekee alichowahi kuwa mzuri kwacho (kama naweza kusifikia) ni kuwa Katibu ya Umoja wa Vijana wa CCM... nje ya hapo sijui! KUhusu Mwema ndio wala sitaki ksuema maana nishasema vya kutosha... ingekuwa nchi nyingine angetimuliwa miaka minne nyuma... !

Vuai bado sijajua maana ningependa kusikia kauli yake ya kuhusika kwa JWTZ katika kadhia iliyotokea Mtwara.

Mshamba pekee anayeishi Ulaya, kwanini walivunja madaraja, wamechoma moto mali za watu na ofisi za umma? Kweli wewe ni mwanakijiji na unaishi Ulaya..pole kwa kujipofusha
 
Ni sahihi kabisa kwa jeshi kuingia Mtwara na kuzima ule uasi...nawapongeza kwa kazi nzuri
 
Jeshi letu linafanya kazi ya kustahili sifa zote. Wajinga wote na wenye mapembe ndio yanakatwa sasa
 
Back
Top Bottom