Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 34,095
- 43,305
Ukitaka kujua jeshi la polisi lina weledi kiasi gani angalai linavyofanya kazi wakati wa vurugu, dharura, au pale ambapo mmojawao anaumizwa. Mambo ambayo yanadaiwa kufanywa na Jeshi la Polisi na wale wa JWTZ dhidi ya wananchi ni mambo yanayoita watu kuwajibishwa.
Kwamba kuna nyumba zimechomwa na polisi wametoa adhabu ya jumla (collective punishment) wakiingia kwenye majumba ya watu na kusababisha hali ya hofu kwa wananchi badala ya kuonesha weledi na amani toka mwanzo - kwani jambo hili lilijulikana kabla!
Tumeshasema mara nyingi huko nyuma wengine wanaobebwa hawabebeki... Wasije kudhania kuwa kulazimisha amani kwa nguvu namna hii kunawafanya watu wageuka na kuwapenda zaidi... wanachofanya wao wenyewe wanazidi kupandikiza chuki, sumu ya chuki inanyonywa na watoto katika matiti ya mama zao...
Binafsi sielewi kabisa kwanini Nchimbi ni Waziri! I have never understood kwanini ameendelea kuwa Waziri licha ya kuboronga wizara zote alizopitia.. kitu pekee alichowahi kuwa mzuri kwacho (kama naweza kusifikia) ni kuwa Katibu ya Umoja wa Vijana wa CCM... nje ya hapo sijui! KUhusu Mwema ndio wala sitaki ksuema maana nishasema vya kutosha... ingekuwa nchi nyingine angetimuliwa miaka minne nyuma... !
Vuai bado sijajua maana ningependa kusikia kauli yake ya kuhusika kwa JWTZ katika kadhia iliyotokea Mtwara.
Kwamba kuna nyumba zimechomwa na polisi wametoa adhabu ya jumla (collective punishment) wakiingia kwenye majumba ya watu na kusababisha hali ya hofu kwa wananchi badala ya kuonesha weledi na amani toka mwanzo - kwani jambo hili lilijulikana kabla!
Tumeshasema mara nyingi huko nyuma wengine wanaobebwa hawabebeki... Wasije kudhania kuwa kulazimisha amani kwa nguvu namna hii kunawafanya watu wageuka na kuwapenda zaidi... wanachofanya wao wenyewe wanazidi kupandikiza chuki, sumu ya chuki inanyonywa na watoto katika matiti ya mama zao...
Binafsi sielewi kabisa kwanini Nchimbi ni Waziri! I have never understood kwanini ameendelea kuwa Waziri licha ya kuboronga wizara zote alizopitia.. kitu pekee alichowahi kuwa mzuri kwacho (kama naweza kusifikia) ni kuwa Katibu ya Umoja wa Vijana wa CCM... nje ya hapo sijui! KUhusu Mwema ndio wala sitaki ksuema maana nishasema vya kutosha... ingekuwa nchi nyingine angetimuliwa miaka minne nyuma... !
Vuai bado sijajua maana ningependa kusikia kauli yake ya kuhusika kwa JWTZ katika kadhia iliyotokea Mtwara.