Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,760
Baada ya kutemwa uwaziri wa mambo ua ndani mhe. Emmaniel Nchimbi juzi jumamosi alienda kutambikia kwenye kaburi la aliyekuwa kuwa mbunge wa jimbo hilo Marehemu Gama.
Taarifa za watu waliokuwa kwenye msafara wa Nchimbi zinasema alifika makabulini hapo kuomba msamaha kwa marehemi Gama kwani anaona yanayotokea pengine ni kwa sababu ua ungomvi wake na Gama..walisema ni kama amechanganyikiwa kwani kutoka kwenye mbio za urais sasa hajiamini hata kuupata udiwani kwani hana ushawishi kabisa kwenye jimbo na alikuwa akiliendesha jimbo kwa mtutu wananchi wakigoma analeta polisi wa kutosha leo ni mbunge wa kawaida hana jeuri ya kuagiza polisi atakavyo.
Maoni yangu:
Nchimbi ukimalizana na Gama njoo Arusha uwaombe msamaha watu uliowauwa kanisa la olasti kwa bomu na wale wa soweto..
Taarifa za watu waliokuwa kwenye msafara wa Nchimbi zinasema alifika makabulini hapo kuomba msamaha kwa marehemi Gama kwani anaona yanayotokea pengine ni kwa sababu ua ungomvi wake na Gama..walisema ni kama amechanganyikiwa kwani kutoka kwenye mbio za urais sasa hajiamini hata kuupata udiwani kwani hana ushawishi kabisa kwenye jimbo na alikuwa akiliendesha jimbo kwa mtutu wananchi wakigoma analeta polisi wa kutosha leo ni mbunge wa kawaida hana jeuri ya kuagiza polisi atakavyo.
Maoni yangu:
Nchimbi ukimalizana na Gama njoo Arusha uwaombe msamaha watu uliowauwa kanisa la olasti kwa bomu na wale wa soweto..