Kwa taarifa yako hata ubunge aliupata kwa kuiba kura kule kwao hakubaliki hata cdm waweke jiwe hapati kuraRais Mwinyi alijiuzulu akaja kuwa rais wa nchi hii kwa kuwa alionekana ni mwajibikaji, kama unataka kujenga imani ya watanzania kwako, achia ngazi haraka. Vinginevyo kupata urais labda ulete alshabab waibe kura
Kati ya mawaziri wasiojielewa huyu ni mmoja wapo
Halafu kina PhD ya chupiHiki kijamaa sikipendi ni kijeuri afu kinamadhara sana, nchimbi sikupendi sana yani wakisema chagua mtu wa kufa nae atakua nchimbi
Nchimbi fuata mfano wa Ali Hassan Mwinyi (wakati huo Waziri wa Mambo ya Ndani) alivyojiuzulu.
Kauli ya nchimbi kwa kusema Mwandishi Daudi Mwangosi ameuwawa kutokana na bomu la machozi ambalo halikulipuliwa kitaalamu, ni kauli angalau inayo kidhi haja. Na hivyo ndivyo inapaswa kwa IGP pia kutamka kwani naamini Nchimbi ametaarifiwa na IGP. Hivyo IGP na RPC Iringa wanapaswa kufukuzwa kazi mara moja kwa kuongea uongo na kuwa wazushi.