Watanzania tuamke, TUIKATAE CCM, tuwaambie kwamba wanaua ndugu zetu kwa tamaa yao ya madaraka ilhali uwezo wa kuliongoza Taifa letu na kuliletea maendeleo hawana, TUANZE KWA KUISUSIA CCM NA SERIKALI YAKE, TUSIENDE KWENYE MIKUTANO YOYOTE ILE ITAKAYOITISHWA NA CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM) WALA SERIKALI YAKE, TUSIENDE KWENYE MAANDAMANO YOYOTE YATAYOITISHWA NA CCM WALA SERIKALI YAKE, wakishajiona hawatakiwi watashika adabu, watasimama jukwaani wao wenyewe na kuwahutubia watu wawili na kuona aibu na kuondoka, ikifikia hapo ndipo watakapokaa chini na hawana jinsi yoyote iliyobakia isipokuwa ni kuondoka madarakani, lakini wakiwepo WAPUMAVU WACHACHE, narudia tena WAPUMBAVU HATA WACHACHE TU ambao watajitokeza kuwasikiliza hiyo itatosha kabisa kuwafanya CCM wazidi kung'ang'ania madaraka hata kwa gharama ya maisha ya ndugu zetu, HIMA WATANZANIA WASUSIENI HAWA NA MWISHO MUWAADHIBU KWENYE SANDUKU LA KURA KWA KUTOWACHAGUA TENA.