Emmanuel Nchimbi mpaka sasa hujaona sababu ya kujiuzulu? Je unafurahia mauaji haya?
Mbaya zaidi unakuja na matamko yenye utata kuhusu haya mauaji. Hivi ni lini viongozi wa nchi hii mtaacha kuwa wanafiki na msiopenda kuwajibika. Na mbona matukio ya wananchi kuuawa na polisi yameongeza sana baada ya wewe kupewa hii wizara? Kwa nini tusiamini kwamba ulipewa hii wizara kwa kazi ya kuua watanzania? kwa nini tusiamini kwamba wewe ndio unatoa maagizo ya mauaji haya.
Nasikikia una mpango wa kugombea urais 2015, hivi ukipewa madaraka si ndio utachinja watu hadharani. Hii haikubaliki, Nchimbi lazima uondoke!!!!