Nchi Zenye Internet ya Kasi Zaidi Duniani

Nchi Zenye Internet ya Kasi Zaidi Duniani

Mhhh, mbona nishawah kutumia CoET internet kwa njia ya cable ilikuwa inashusha 500mb/sec au hiz record ni for whole geographical area for individual country
 
Kaka Hilo Swali Bado Lina Utata Sana, Hong Kong ni Nchi na Kuna Tafiti zinasema sio sehemu ya China na Tafiti Nyingine zinasema iko ndani ya China... Hong Kong ina pesa yake, Ina Passport yake hata pia ina wakala wa uhamiaji. Unaweza kusoma zaidi Hapa > Interesting Fact: Hong Kong Isn't Quite a Part of China
Ndiyo maana nikasema ni kama hapa kwetu unapoiongelea Zanzibar, napajua mkuu huko bahati nzuri namshukuru Mungu, nilishakanyaga mwaka juzi. Nilijionea mwenyewe jinsi hizo sehemu zilivyo na sheria tofauti.
 
1Mbps=8MBps. ....1 megabits per second is equal to 8 megabytes per second
Kwahiyo kudownload file la 1MB kwa sekunde moja unahitaji connection yenye 8Mbps...
Tanzania speed yetu tupo kwenye Mbps...
Najaribu kumaliza ka ubishi flani apo juu
 
Ndiyo maana nikasema ni kama hapa kwetu unapoiongelea Zanzibar, napajua mkuu huko bahati nzuri namshukuru Mungu, nilishakanyaga mwaka juzi. Nilijionea mwenyewe jinsi hizo sehemu zilivyo na sheria tofauti.
Sawa kaka.
 
Daa ila sisi wabongo tunapenda ukaiunganisha nchi yetu na vitu vya kijingaa

Internet unasema ni kitu cha kijinga?
Kitu ambacho kimetengeneza kampuni zaidi ya elfi duniani zinazoingiza net billion dollar kila mwaka? Watanzania ushamba unawafanya mbaki maskini.
 
Umeelewa lkn au umeibuka kama unatoka shimoni!
Rudia tena kusoma japo maelezo si mengi.
 
Daa ila sisi wabongo tunapenda ukaiunganisha nchi yetu na vitu vya kijingaa
Umeelewa lkn, au umeibuka tu kama vile unatoka shimoni!!
Rudia tena kusoma harafu ujipe muda kdg wa kufikiri kabla hujaandika tena.
 
1Mbps=8MBps. ....1 megabits per second is equal to 8 megabytes per second
Kwahiyo kudownload file la 1MB kwa sekunde moja unahitaji connection yenye 8Mbps...
Tanzania speed yetu tupo kwenye Mbps...
Najaribu kumaliza ka ubishi flani apo juu
hesabu zako hazijaenda sawa.........1megabits=0.125megabytes...naona ulichanganya kidg...na 8megabits=1megabytes...thats means kama unadownload file la 1GB kwa speed ya 1megabits/s itakuchukua takribani masaa 22 na DK 6
 
hesabu zako hazijaenda sawa.........1megabits=0.125megabytes...naona ulichanganya kidg...na 8megabits=1megabytes...thats means kama unadownload file la 1GB kwa speed ya 1megabits/s itakuchukua takribani masaa 2 na DK 26
Ok right nimeenda vice versa ... Shukrani
 
Back
Top Bottom