Naked Security
JF-Expert Member
- Jan 25, 2018
- 207
- 151
Mb 2. per secAcha Uongo hebu pakua uweke hapa tuone.
Ina maanisha izo mb 429 zina download chin ya dakik 5 .
Mb 2. per secAcha Uongo hebu pakua uweke hapa tuone.
Download file zima uweke hapa la GB 2.
Switzerland wana internet yenye speed zaid ata ya Japan na Nchi za American zote.![]()
![]()
Aisee kumbe napotez nguvu zangu bureDownload file zima uweke hapa la GB 2.
Kumbe umejua unapotea MB kwa vitu visivyo na maanaAisee kumbe napotez nguvu zangu bure
Kwan kuna tofaut gan kati ya kudownload file la GB 2 au MBs 429 kama speed ya internet ni ile ile?
.Hivi unajua ulaya ilianza kuamka kabla ya marekani na Japan?Switzerland wana internet yenye speed zaid ata ya Japan na Nchi za American zote.![]()
![]()
Nahis una kichwa kigum sanaKumbe umejua unapotea MB kwa vitu visivyo na maana![]()
![]()
.
sio bureSawa,Hivi unajua ulaya ilianza kuamka kabla ya marekani na Japan?
Maisha ya Europe ya magharibi ni kote advanced kuliko unavyodhani.Sawa,
Kwa jinsi technology yao ilivyo juu Kwa sas kuzid mataif Meng ya Ulaya nategemea na speed yao ya net itakua juu pia
Bado tuko nyuma sana mkuu. File hilo la 20mb Canada unalipakuwa kama sekundu 9 tuuu! Movie mzima ya 4gb unaipakuwa chini ya 3 mins.![]()
![]()
![]()
![]()
Unapakuwa file la mb 20... Unaenda chooni kukata gogo... Ukirudi ndio kwanza zimeingia mb 5
Ya mbwa koko au?Hao hawako serious, waje waige Tz ,sisi tz tuna 4G /s
DuuuhhhTanzania GB 2 kwa Masaa 78000
Hong Kong ni jiji mashuhuli kule China ambalo linajitegemea kama nchi katika mambo mengi. Unakuta hata baadhi ya sheria zao zipo tofauti na zile za nchi kwa ujumla kama ilivyo kwa baadhi ya majiji yaliyopo Marekani.Hiv Hong Kong...ni nchi....?...na mji mkuu wake unaitwaje...?
Ivi Kenya haiko kwenye laana kama tz,au damu za watu zinatufunga mwendo?Hata kwenye utafiti huo hatupo ila Kenya inaongoza kwa Afrika.
Duuuuuh![]()
![]()
![]()
![]()
Unapakuwa file la mb 20... Unaenda chooni kukata gogo... Ukirudi ndio kwanza zimeingia mb 5
WeweeeeOooh, mimi akili yangu sijui imeenda kwenye tango lipi ata.